The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Pamoja na kutwaa mataji yote ya england na kufika robo fainali ya UEFA bado hakuna mchezaji yeyote wa city kwenye kikosi bora cha dunia. Imagine hata benardo hayupo. Cha ajabu unakutana na wachezaji 4 wa Real madrid, timu ambayo haikuwa na msimu mzuri.
Mfano mtu kama marcelo alikuwa anapigwa benchi na kale ka regulion lakini yupo kwenye kikosi. Pia mtu kama mane kaupiga sana msimu uliopita lakini hayupo.
Mtazamo wangu kikosi kilichotangawa hakiakisi uhalisia kabisa
Mfano mtu kama marcelo alikuwa anapigwa benchi na kale ka regulion lakini yupo kwenye kikosi. Pia mtu kama mane kaupiga sana msimu uliopita lakini hayupo.
Mtazamo wangu kikosi kilichotangawa hakiakisi uhalisia kabisa