Kukosekana ufahamu wa pamoja wa kimsingi kwa Watanzania

Kukosekana ufahamu wa pamoja wa kimsingi kwa Watanzania

Mwanamwaiche

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2022
Posts
665
Reaction score
968
Habarini nyote!

Ni staajabu ya pekee almost in everything thing ni vululuvululu kila kitu ushabiki ukichaa tu logic na reasoning sifuri, kukubaliana vitu obvious hamna kila kitu ukichaa tu, critical and analytical perspectives za issues hamna. Taifa hili linaenda wapi?

Tugutuke na tusaidiane kuokoa taifa popote ulipo.

Nawasilisha
 
Ushabiki, mihemko na mahaba vimetufikisha hapo.
logic na reasoning za kawaida kabisa imekuwa adimu, ni aibu sana, contrary to other countries people look at issues universally, look at medias on football issues ni aibu, political issues aibu, all angles ni changamoto, ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom