Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
80% ya wenyevit wa CCM ni waislam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kutoa maoni yako unatakiwa yasifanane na mtu mwingine kama unaona yapo sawa? Kama wangetoa maoni yanayo fanana na ya serikali ungesema wamekurupuka? Tumia Akili yako vizuri kufikiri.Pamoja na Yote haya ila Maaskofu wamekurupuka kwa Tamko linalofanana na matamko ya vyama vya siasa na hilo ndilo tatizo kubwa. Wangejitofautisha na Chadema wangefanikiwa zaidi.