Kuku aina ya Kenbro

Kuku aina ya Kenbro

sawa mr. chacha nitashukuru kupata hiyo ramani nimenunua hekari mbili pembeni ya mji hapa dar, nataka kuanza ujenzi wa mabanda ila eneo liko wazi kabisa ni kama shamba, ni vizuri kuzungusha ukuta kwanza then ndiyo nianze hayo mabanda au hata mabanda tu
 
Ingekuwa vizuri kutujibu uko sehemu gani hata ungeweka map maana umepigiwa simu ukasema utapiga baadae ndio imetoka, kama haupo au huuzi tena utasamehe bure kwa usumbufu
 
Back
Top Bottom