Kuku aina ya kuroiler from India

Kuku aina ya kuroiler from India

mkuu tupe na mchango wa vifanga 100 kwanzia tukiwanunua mpk hio miezi 4 makadirio ni shilingi ngap matumizi maana utakuja kuta faida ni kidogo sana
 
mkuu tupe na mchango wa vifanga 100 kwanzia tukiwanunua mpk hio miezi 4 makadirio ni shilingi ngap matumizi maana utakuja kuta faida ni kidogo sana
Mkuu kwa plan hii

Inahitaji uzalishe vifaranga mwenye faida inakua kubwa tu kwasababu kuku wa kienyeji mwenye umri wa miezi 4 unaweza kumuuza elf 10 nk...
 
Mnaeleza tu faida changamoto zake hamfafanui.
 
Hapo hakuna cha maana ulichoeleza zaidi ya mipasho,wabongo tushawajua kwa kusifia vitu tu bila kuwa na namna ya kufikia huo uzuri.Jazia nyama ueleweke.
 
KUROILER :
Asili ya kuku hawa wa kuroiler wametokea nchini _INDIA_
Hawa ni kuku wa kibiashara yaani ni kama broiler wa kienyeji. Wana kuwa kwa haraka sana miezi *3--4* anakuwa yupo tayari kuingia sokoni kama akipewa matunzo mazuri. Wana taga vizur

Kuku hawa kwa mwaka unaweza vuna Mara Tatu kwa makadrio ya miezi 4.

"Kwa mfano mwezi wa 1 ukiingiza Vifaranga bandani hadi mwezi 4 utawauza, mwezi wa 5 ukiingiza Vifaranga bandani hadi mwezi wa 8 utawauza , mwezi wa 9 ukiingiza Vifaranga bandani hadi mwezi wa 12 utawauza."

Kwahiyo ni mizunguuko 3 kwa mwaka mmoja.

kila Batch ukiuza kuku 1,000 kwa mwaka utakua umeuza kuku 3,000

Huku kuku wa kienyeji pure mizunguuko 1-2 kwa mwaka.

*Sifa Za Kuku Aina Ya Kuroiler*
•Wanakua haraka.
•Wanakadiriwa kuwa na uzito kati ya kilo 3 mpaka 3 na nusu wakiwa na umri wa miezi 4
•Wanavumilia magonjwa.
•Wanafugika aina zote za ufugaji ndani, nusu huria na huria kabisa.

*Muhimu* kuroiler wanafanua vizuri zaidi katika upande uzalishaji mayai na kwa ukuaji wa haraka...

Tanga Poultry Farm
Chakula,umeme,maji na matunzo mengine bei gani? Bei yajumla kuku mmoja bei gani?
 
Hapo hakuna cha maana ulichoeleza zaidi ya mipasho,wabongo tushawajua kwa kusifia vitu tu bila kuwa na namna ya kufikia huo uzuri.Jazia nyama ueleweke.
tatizo umezoea kusikiliza taarabu, lazima unaona mipasho
 
Maswali ya kitoto kama haya huwa sijibu
Huwezi kujbu kwasababu umechemka. Ni sawa mtu aje hapa aseme fanya biashara ya kuuza vitumbua. Kitumbua kimoja 200, ukiuza 100 kwa siku unapata 20,000/-. Bila kutueleza gharama za kuzalisha kitumbua kimoja.
 
Huwezi kujbu kwasababu umechemka. Ni sawa mtu aje hapa aseme fanya biashara ya kuuza vitumbua. Kitumbua kimoja 200, ukiuza 100 kwa siku unapata 20,000/-. Bila kutueleza gharama za kuzalisha kitumbua kimoja.
Acha upuuzi, sina muda wakupoteza kuanza kukupa mchanganuo
 
Back
Top Bottom