Habari wajasiriamali..... mimi Ni mfugaji ninayejifunza kuwa mfugaji bora... kuna kuku nimemkuta anatoa machozi na anavitu vyeupe machoni... nimejaribu kumsafisha na maji ya vuguvugu na chumvi kama huduma ya kwanza.. Naomba aliyewahi kutana nao akauweza anisaidie....