je makoo wanaanza kutaga wakifikia miezi mingap? kuna mtu aliniambia wanaweza kufika miezi 10 ndo wanaanza kutaga,je ni kweli?
asante kwa msaada wako,je wewe unao kuchi? na bei zake zipoje?
Bei ya soko sasa hivi sijapata uhakika wa bei maana hua na bei tofauti tofauti,, Na vile vile mie ninawafuga wa kuendeleza kizazi sio kwa kuuza!!