Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je makoo wanaanza kutaga wakifikia miezi mingap? kuna mtu aliniambia wanaweza kufika miezi 10 ndo wanaanza kutaga,je ni kweli?
asante kwa msaada wako,je wewe unao kuchi? na bei zake zipoje?
Bei ya soko sasa hivi sijapata uhakika wa bei maana hua na bei tofauti tofauti,, Na vile vile mie ninawafuga wa kuendeleza kizazi sio kwa kuuza!!