aaah hpna sio jogoo mkuuKama ni jogoo atakuwa hapandi mtungi...ugonjwa huo
Ipondee kwenye Maji, iwe inawasha kweli kweli kabisa afu mnyweshe.
poa mkuu asante sanaIpondee kwenye Maji, iwe inawasha kweli kweli kabisa afu mnyweshe.
lakini nikiangalia zile dalili za mafua hazifanani na alivyo yeye bossni Mafua kuna dawa inaitwa FLUBAN nimeitumia inatibu fasta
Mafua makali (corzya)kuku wangu ana wiki na nusu sas anasumbuliwa na huo ugonjwa ambao bado sijajua ni ugonjwa gan kiukweli,
anakohoa na kupiga chafya alafu ukimsikilizia kwa muda flan hiv unasikia kama anakoloma ndan ya mwili wake..
kwa anaejua huu ni ugonjwa gan naomba msaada pamoja na matibabu yake na kinga kiujumla..
asante
Sent using Jamii Forums mobile app
bado mkuu, sijawapatia maan ndio nimeanza ufugaji huu nina miez 3 na ninakuku 20 wa kienyejiKuku wako unawapa dawa za minyoo mara ngapi kwa mwaka??
exactlyni Mafua kuna dawa inaitwa FLUBAN nimeitumia inatibu fasta
mkuu, hii ni pilipili gan na jinsi ya kuandaa ni vipDawa nzuri Sana ya kutibu mafua ya kuku ,ila kwenye ngozi ya binadamu inawasha sanaView attachment 1045780View attachment 1045779View attachment 1045781
Sent using Jamii Forums mobile app
bado mkuu, sijawapatia maan ndio nimeanza ufugaji huu nina miez 3 na ninakuku 20 wa kienyeji
Sent using Jamii Forums mobile app