Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tiririka hapa tujifunze acha mambo ya pminfectious coryza
Ni pm kwa maelezo zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiririka hapa tujifunze acha mambo ya pminfectious coryza
Ni pm kwa maelezo zaidi
Wakuu mimi kuku wangu wanakohoa na ukiwasikiliza ni Kama wanakoroma umri ni wa Mbezi miwili na vifaranga wa week moja na siku 6 ila hii issue imedumu kiasi maana niliwapa Fluban siku 5 ikawa bado nilipata kifo kimoja kwa (Watoto),,,siku 3 mbele nimewaanzishia dose nyingine ya TYDOX EXTRA Wakubwa wametulia ila wadogo(hawa wa one week)bado hali ni ile ile,naombeni msaada wenu wadau!