kuku mwenye kamba mguuni

Aaahahaha!!
Kwa jinsi sweetlady alivo kuwa akifungua kamba kichokozi sidhani kama kuna mtu angeweza kuniteka lol!
Zaidi nilikuwa pembeni nikifuatilia mazungumzo kati ya wenyeji wangu.
Shukrani kwa wote mlio na mnao zidi kunikaribisha
 
He! huyu kweli alikuwa na kamba mguuni, kafunguliwa tu ndo kapotea mazima!?? we Mr.Q

Mkuu mi nipo sana tuu sema tu nilikuwa kwa mjirani kutoa Hi.
 
Aaahahaha!!
Kwa jinsi sweetlady alivo kuwa akifungua kamba kichokozi sidhani kama kuna mtu angeweza kuniteka lol!
Zaidi nilikuwa pembeni nikifuatilia mazungumzo kati ya wenyeji wangu.
Shukrani kwa wote mlio na mnao zidi kunikaribisha
Bora umeonekana, maana tulikuwa na wasiwasi huenda umetekwa. Tulitaka tuunde kamati ya kwenda mabwepande kukusaka....
 
Bora umeonekana, maana tulikuwa na wasiwasi huenda umetekwa. Tulitaka tuunde kamati ya kwenda mabwepande kukusaka....

Msitu wa pande tena? Siku hizi tumeweka walinzi ambao ni invisible kwahiyo ukijaribu kuleta unyama wako tu imekula kwako.
Mkuu usiwe na shaka.
 
Msitu wa pande tena? Siku hizi tumeweka walinzi ambao ni invisible kwahiyo ukijaribu kuleta unyama wako tu imekula kwako.
Mkuu usiwe na shaka.

sweetlady atafurahi sana kukuona u mzima, maana ndio alitoa wazo la kwenda mabwepande kukutafuta.
 
Last edited by a moderator:
Aaahahaha!!
Kwa jinsi sweetlady alivo kuwa akifungua kamba kichokozi sidhani kama kuna mtu angeweza kuniteka lol!
Zaidi nilikuwa pembeni nikifuatilia mazungumzo kati ya wenyeji wangu.
Shukrani kwa wote mlio na mnao zidi kunikaribisha

Hatimaye umeachiwa lol...........nilikuwa nna mpango wa kukufunga tena kamba mguuni ila vile umejieleza kwa ufasaha kamba naitupa kule........ Katavi kama vipi choma moto hiyo kamba!
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye umeachiwa lol...........nilikuwa nna mpango wa kukufunga tena kamba mguuni ila vile umejieleza kwa ufasaha kamba naitupa kule........ Katavi kama vipi choma moto hiyo kamba!

Bora hiyo kamba ichomwe kabisaaa! kiasi flani ilishaanza kunichubua mguu
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe mwambie zikipita siku mbili hajatokea huu mzigo wake naula lol!

Haziwezi pita siku zote hizo
Na kuhusu mzigo kuna mizigo mingine ni kwaajili ya ma Mr. Kwahiyo ungetumia mzigo wa ki-Mr sijui ingekuwaje?
 
Haziwezi pita siku zote hizo
Na kuhusu mzigo kuna mizigo mingine ni kwaajili ya ma Mr. Kwahiyo ungetumia mzigo wa ki-Mr sijui ingekuwaje?

Hehehehe Mr Q mbona huu nishautumia sa nyingi lol......zilikuwa tende na halua lol!
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe Mr Q mbona huu nishautumia sa nyingi lol......zilikuwa tende na halua lol!

Hakya nani tena Nita kusemea kwa...........
Akufunde tena ili usiwe unatumia vitu vya kuku wageni Lo!
 
Last edited by a moderator:
Hakya nani tena Nita kusemea kwa...........
Akufunde tena ili usiwe unatumia vitu vya kuku wageni Lo!

Hahahaha kuku mwenyewe mzururaji hivyo lol.....umekuja tu hata maji hatujakupa ushakimbilia kwa majirani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…