kuku mwenye kamba mguuni

kuku mwenye kamba mguuni

Hahahaha kuku mwenyewe mzururaji hivyo lol.....umekuja tu hata maji hatujakupa ushakimbilia kwa majirani!

Kulikuwa na bonge la mwaliko wa hi sikukuu nikajikuta nimejumuika nasikitika hakukuwa na kilichobaki ningekuletea mambo ya pwani.
 
Kulikuwa na bonge la mwaliko wa hi sikukuu nikajikuta nimejumuika nasikitika hakukuwa na kilichobaki ningekuletea mambo ya pwani.

Haiwezekani ukose chochote cha kuniletea lol......basi ninunulie hata fanta orange tu lol!
 
Haiwezekani ukose chochote cha kuniletea lol......basi ninunulie hata fanta orange tu lol!

Unataka nijaze nyuki mezani? Unataka kuniambia hutumii vitu vikali ngoja basi niagize hata coke.
 
Unataka nijaze nyuki mezani? Unataka kuniambia hutumii vitu vikali ngoja basi niagize hata coke.

Hahahahahaha lol eti nyuki mezani khaaah......kwani nimeagiza asali jamani?:A S cry:
 
Hahahahahaha lol eti nyuki mezani khaaah......kwani nimeagiza asali jamani?:A S cry:

Hapana si unajua soft drink zinakuwaga na sukari? Ambayo kwa nyuki ni sawa na kamba kwa kuku mgen.i
Inakuja kwa ajili yako.
 

Attachments

  • 4 sweetlady.jpeg
    4 sweetlady.jpeg
    4.4 KB · Views: 51
Hapana si unajua soft drink zinakuwaga na sukari? Ambayo kwa nyuki ni sawa na kamba kwa kuku mgen.i
Inakuja kwa ajili yako.

Hehehehehe.............hapa sasa tuko pamoja lol:flypig:
 
Karibu sana jamvini Mkubwa.
nimekuja kuwa reward likes mlio nikaribisha coz kipindi kile ilikua shughuli kutoa like kwa njia ya simu
 
kukumbuka walio kukaribisha sio jambo baya mko wapi ndugu mlio nikaribisha hapa jf?
Hahahaah mkuu umefukua kaburi, thread ya 2012 [emoji12] [emoji12]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom