Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msuli tunaita seruni alafu juu wavalia flana nyeupee lol ila msuli kuufunga shuhuli lol mara wadondoka lol
Hahahaaaaa una ufunguji wake ule haudondoki nq'o! Naimiss Unguja kwakweli
Thanks....usisahau na sosi ya ukwaju
thats very normal mkuu, hamna mwanaume anaependa mwanamke asiejua kupika....
mi leo nakosea tu ha ha haaaaaa. Mechoka na kazi. Na hapa nimekujibu wewe badala ya kum quote mtu mwenginehahahahaha polee sana
lol, mpnz jumapili hii badala ya kupika chips za kukaanga tuta bake, au vp? Na masalad ya kutosha
lol, si nimekosea ku quote. Ha ha haaaaaaaaaaaamshana jr huna chako lol
Yaani ndo Nilitaka kukumbushia chachandu ya ukwaju,......umeniwahi!
Halafu viazi kumbe vyachemshwa kwanza?!, basi mie nilikuwa na bake hivyo hivyo bila hata mafuta halafu nakuwa sielewi kwa nini vinatoka vigumuu!,
Asante kwa recipe, ntajaribu soon!
lol, si nimekosea ku quote. Ha ha haaaaaaaaaaaa
Hahahahaha bahati ndio umejua ungestukia makofi lol
Lol, na sijui kama ntapona.
Vinafanana upishi wake pia unaweza pika bila ya kutoa maganda ila tu uoshe vizuri
Ugonjwa wangu huu.....pouwa!
Ukipenda weka onion na garlic powder