Kuku na viazi vya kuoka

Kuku na viazi vya kuoka

farkhina wantia hamu mwenzio ni me miss msuli jamvi kiupepo cha jioni jua lazama chini ya mnazi mwembe au mkungu mahanjumati yote yako siniani

Msuli tunaita seruni alafu juu wavalia flana nyeupee lol ila msuli kuufunga shuhuli lol mara wadondoka lol
 
Last edited by a moderator:
Msuli tunaita seruni alafu juu wavalia flana nyeupee lol ila msuli kuufunga shuhuli lol mara wadondoka lol

Hahahaaaaa una ufunguji wake ule haudondoki nq'o! Naimiss Unguja kwakweli
 
Thanks....usisahau na sosi ya ukwaju

Yaani ndo Nilitaka kukumbushia chachandu ya ukwaju,......umeniwahi!

Halafu viazi kumbe vyachemshwa kwanza?!, basi mie nilikuwa na bake hivyo hivyo bila hata mafuta halafu nakuwa sielewi kwa nini vinatoka vigumuu!,
Asante kwa recipe, ntajaribu soon!
 
Yaani ndo Nilitaka kukumbushia chachandu ya ukwaju,......umeniwahi!

Halafu viazi kumbe vyachemshwa kwanza?!, basi mie nilikuwa na bake hivyo hivyo bila hata mafuta halafu nakuwa sielewi kwa nini vinatoka vigumuu!,
Asante kwa recipe, ntajaribu soon!

Chemsa kdg dakika 5-7 alafu wakati wa kuoka weka moto mdogo 300 pika taraatibu ili viwive vizuri
 
  • Thanks
Reactions: kui
Chemsa kdg dakika 5-7 alafu wakati wa kuoka weka moto mdogo 300 pika taraatibu ili viwive vizuri

...kumbe!,......halafu farkhina , viazi vya kutengenezwa hivi vimefanana na steak fries, au ndo vyaitwa hivo kidhungu!
 
Last edited by a moderator:
...kumbe!,......halafu farkhina , viazi vya kutengenezwa hivi vimefanana na steak fries, au ndo vyaitwa hivo kidhungu!

Vinafanana upishi wake pia unaweza pika bila ya kutoa maganda ila tu uoshe vizuri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom