Kuku wa "abuja" Tabora

Kuku wa "abuja" Tabora

ndio wapi huko mkuu?

Usinichekeshe, hiyo ni aina mojawapo ya mboga za majani iliyokaushwa na kuhifadhiwa kwa matumizi ya baadaye haswa kiangazi. Mchanganyiko wake ni majani ya maboga na majani ya mlenda, vinakaushwa na kusagwa ili kupata kitu kama unga laini hivi. Mchanganyiko huo ukiungwa na tui la karanga ni HATAREEEEE.
 
eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP.. kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa.. sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha.
The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodoma
 
Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodoma
Location tafadhali Mkuu..!!

Pia niliwahi kula pale Abuja pale Legends Pub ipo jirani na Waswanu, nika enjoy balaa..!!🥳
 
Eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa. Sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha.

The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
Sio kuku wa kawaida eĺewa neno sio wa kawaida
 
Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodoma
Aiseee. Kwa utamu wa wale kuku nitawapandia SGR.
 
Back
Top Bottom