Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njo kwangu nikufundishe
ndio wapi huko mkuu?
Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodomaeeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP.. kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa.. sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha.
The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
Location tafadhali Mkuu..!!Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodoma
Sio kuku wa kawaida eĺewa neno sio wa kawaidaEeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa. Sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha.
The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
Wapo sehemu gani?Aisee hapo PICK POINT PUB ni hatari husninyo....hayo hiyo Abuja kiboko yako
Karibu na kitete hospital geti la kuingilia.Wapo sehemu gani?
Aiseee. Kwa utamu wa wale kuku nitawapandia SGR.Ebhana eeeeh huyu kuku sasa anapikwa Dodoma panaitwa Abuja Park Dodoma, nimekula Kuku Abuja Dodoma ni Mtamu, na nikawaona wapishi ni wale wale vijana niliwahi kula Abuja Tabora. Wamesopgeza huduma ya kuku Abuja Dodoma