Indoraptor
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 249
- 506
Hafi kweli[emoji16][emoji16][emoji16]Mdumbukize kwemye maji baridi kwa dakika 5 hivi. Kisha mwachie ataanza kutaga baada ya siku 14 lakini kama atapatachakula cha kushiba
Hahahah usizamishe kichwa mkuuHafi kweli[emoji16][emoji16][emoji16]
Mtaua viumbe bila hatia.Mdumbukize kwemye maji baridi kwa dakika 5 hivi. Kisha mwachie ataanza kutaga baada ya siku 14 lakini kama atapatachakula cha kushiba
Mkuu kwa bei ya @ 1000 hakuna nakuhakikishia kutokana na gharamaGuys nahitaji kuweka order au kununua vifaranga 100 kwa bei ya sh 1000 kila kimoja, nahitaji vifaranga specifically vya Kuroila, ila kama hivyo havipo bhas tutazungunza kuhusu vilivyopo, kama Kuna mtu anavyo anitext directly please! NIPO MOROGORO.
Habari wanajamvi,
Sina uzoefu na ujuzi wa ufugaji wa kuku. Nauliza tu kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya mda gani endapo amemaliza kutaga na nimemnyima kulalia mayai?
Mkuu kwa bei ya @ 1000 hakuna nakuhakikishia kutokana na gharama
Ila hujatoa specific age za hao vifaranga
Mdumbukize kwemye maji baridi kwa dakika 5 hivi. Kisha mwachie ataanza kutaga baada ya siku 14 lakini kama atapatachakula cha kushiba