Kuku wa kienyeji kutoka Singida wanauzwa

Kuku wa kienyeji kutoka Singida wanauzwa

Freyz

Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
14
Reaction score
7
Nauza kuku wa kienyeji kutoka singida.

Nauza jumla na reja reja. Pia napokea oda kwa wale wenye mahoteli na migahawa
📞0719805851

DB5989A6-EC98-42CE-8ECA-5F1FDE595768.jpeg
2A387695-7B04-45C7-A092-692DD9FA3FC4.jpeg
 
Kwani kuku wa kienyeji hawafungiwi ndani na kulishwa pumba.kwa taarifa yako kuku wa kienyeji wanatunzwa kwa aina tatu kwanza ni free range system ambapo kuku wanashinda nje masaa yote . Pili ni semi intensive system au nusu huria ambapo kuku wanafunguliwa nje lakini wanashinda kwenye uzio. Na mwisho ni intesive system ambapo kuku anashinda ndani masaa yote na kulishwa pumba na maji akiwa ndani.
 
Bei elekezi mkuu na jinsi tutakavyowapata tukihitaji. Na je ni biashara endelevu au imekuja batch moja tu?
 
Kwa nini unawaita ni kuku wa kienyeji wakati unawafungia ndani na kuwalisha pumba?
Ndiyo Ni kuku wa kienyeji mkuu...Unaposikia neno kuku wa kienyeji unaelewa Nini?

Kuku wa kienyeji Ni local breeds.
Na Kuna Njia /systems Kama Tatu Hivi za kuwafuga...
Free range
Semi intensive system
Intensive system.
 
Ndiyo Ni kuku wa kienyeji mkuu...Unaposikia neno kuku wa kienyeji unaelewa Nini?

Kuku wa kienyeji Ni local breeds.
Na Kuna Njia /systems Kama Tatu Hivi za kuwafuga...
Free range
Semi intensive system
Intensive system.
Kwangu mimi ili kuku awe wa kienyeji anatakiwa awe na hizi sifa kuu mbili:

1.Local breed

2.Aachiwe ale huko nje mwenyewe extensively vyakula mbalimbali kama vile wadudu,majani,etc bila ya kulishwa na binadamu.Kwangu mimi binadamu akishatia nanga na kuanza kumlisha mavyakula ya viwandani huyo siyo kuku wa kienyeji tena.Sisi huku kijijini huwa tunawaachia kuku wanakula huko nje hadi wanashiba wenyewe.
 
Kwangu mimi ili kuku awe wa kienyeji anatakiwa awe na hizi sifa kuu mbili:

1.Local breed

2.Aachiwe ale huko nje mwenyewe extensively vyakula mbalimbali kama vile wadudu,majani,etc bila ya kulishwa na binadamu.Kwangu mimi binadamu akishatia nanga na kuanza kumlisha mavyakula ya viwandani huyo siyo kuku wa kienyeji tena.Sisi huku kijijini huwa tunawaachia kuku wanakula huko nje hadi wanashiba wenyewe.
Kwa namna hiyo uzalishaji unakuwa Ni mdogo ,Kuongeza uzalishaji Ni lazima Njia Tajwa za ufugaji hapo juu zifuatwe. Isipokuwa hiyo ya Kwanza (free range)maana inapunguza uzalishaji kwa kiasi kikubwa.
Kuku wanapofugwa ndani siyo kwamba wanapewa Vyakula vya Viwandani(lab manufactured) wanapewa Vyakula vya asili Kama
Pumba za nafaka,Mashudu(ya alizeti ,Pamba nk)
Nafaka ...
Wadudu
Majani.
Hapo Kuna kuwa na uwiano wa Virutubisho anavyoitaji katika uzalishaji wa nyama Bora na mayai.
 
Kwa namna hiyo uzalishaji unakuwa Ni mdogo ,Kuongeza uzalishaji Ni lazima Njia Tajwa za ufugaji hapo juu zifuatwe. Isipokuwa hiyo ya Kwanza (free range)maana inapunguza uzalishaji kwa kiasi kikubwa.
Kuku wanapofugwa ndani siyo kwamba wanapewa Vyakula vya Viwandani(lab manufactured) wanapewa Vyakula vya asili Kama
Pumba za nafaka,Mashudu(ya alizeti ,Pamba nk)
Nafaka ...
Wadudu
Majani.
Hapo Kuna kuwa na uwiano wa Virutubisho anavyoitaji katika uzalishaji wa nyama Bora na mayai.
Lakini hawezi kuwa bora kama huyo wa kwangu,si ndiyo?
 
Lakini hawezi kuwa bora kama huyo wa kwangu,si ndiyo?
😂😂😂 Ndiyo mkuu kuku anaefugwa ndani Tuu hawezi kufanana na kuku anaeranda randa nje...
Ila kuku wa system ya Semi intensive system Anakuwa sawa BSE anaefugwa Kama kuku anaeranda randa Ila anawekewa limits(uzio)
Tizama picha hapo chini
30backyardpoultry4.jpeg
 
Back
Top Bottom