Nashukuru Chasha. Upande wa uwiano nimekuelewa kabisa. sasa hizi dawa ni aidha upate zote au mojawapo.
Nisaidie na dawa ya kuondoa utitiri.
Wabheja sana
Nashukuru Chasha. Upande wa uwiano nimekuelewa kabisa. sasa hizi dawa ni aidha upate zote au mojawapo.
Nisaidie na dawa ya kuondoa utitiri.
Wabheja sana
Mkuu kama unawafungia Ndani Uwiano unao takiwa ni 1:10 hii haina shida kabisa ila kama wako huria inatakiwa iwe 1:6 hii inasababishwa na ile kufukuza fukuza sana jogoo anachoka hivyo ukiweka majogoo wachache halafu mitetea wengi ndo utakuta mayai mengi yanakuwa ni unfertilized yaani hayana mbegu kabisa.
DAWA ZA HUDUMA YA KWANZA AMBAZO HUTAKIWI KUZIKOSA NI
1. OTC 20
2.Esb3
3. Amprolium
4. Vitalyte/Amylite
Hizo ndo za huduma ya kwanza ingawa wadau wataongezea zingine nyingi tu
Mkuu tafadhali unaweza kutusaidia kuweka maelezo kila dawa hapo ni kwa ajili ya nini/ugonjwa gani! Asante
OTC 20- Hii inatibu magonjwa mengi na ni moja ya dawa nzuri sana kwa ajili ya huduma ya kwanza(OXYTETRACYCLINE AU SALFA)
-Hutibu Homa ya matumbo
-Hata kwa mafua ya kuku ni nzuri pia kwa sababu ina salfa
coccidiosis
Esb3- Hii ni kwa kipindi pindu ile ya kuhara chokaa
-Amprolium- Hii inatibu Coccidiosi na pia ni kinga kwa huo huo ugonjwa yaani wanaweza pewa bila hata kuumwa
-vilyte- sio dawa bali ni vitamini tu kwa ajili ya kuwapa kuku
-[/QUOTE
Asante mkuu na huwa wanapewa dawa hizi kipindi gani? Chanjo au wakiugua?
OTC 20- Hii inatibu magonjwa mengi na ni moja ya dawa nzuri sana kwa ajili ya huduma ya kwanza(OXYTETRACYCLINE AU SALFA)
-Hutibu Homa ya matumbo
-Hata kwa mafua ya kuku ni nzuri pia kwa sababu ina salfa
coccidiosis
Esb3- Hii ni kwa kipindi pindu ile ya kuhara chokaa
-Amprolium- Hii inatibu Coccidiosi na pia ni kinga kwa huo huo ugonjwa yaani wanaweza pewa bila hata kuumwa
-vilyte- sio dawa bali ni vitamini tu kwa ajili ya kuwapa kuku
-
1. OTC 20
2.Esb3
3. Amprolium
4. Vitalyte/Amylite
Hizo ndo za huduma ya kwanza ingawa wadau wataongezea zingine nyingi tu