NGARUKA
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 401
- 70
nina mambo nataka kusaidiwa kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji.
1.Kuku wangu wanataga mahali pamoja,je hawatanisumbua wakitaka kuatamia?
2.Nipeni uwiano wa Majogoo wangapi kwa majike,alafu mbona majogoo yanafukuzana tu na mzigo hayapigi?
3.Naombeni mnifhamishe dawa angalau ambayo ni "general purpose" kwa magonjwa ya kuku.
Jamani mi ndo naanza ufugaji nielekezeni.
MUBARIKIWE WANA JF
1.Kuku wangu wanataga mahali pamoja,je hawatanisumbua wakitaka kuatamia?
2.Nipeni uwiano wa Majogoo wangapi kwa majike,alafu mbona majogoo yanafukuzana tu na mzigo hayapigi?
3.Naombeni mnifhamishe dawa angalau ambayo ni "general purpose" kwa magonjwa ya kuku.
Jamani mi ndo naanza ufugaji nielekezeni.
MUBARIKIWE WANA JF