ipatie kuku wa kienyeji, ni wa tamu sana kwa aina zote za mapishi kama supu, kuchoma, kukaanga n.k. Wana uzito kati ya 2-3 kg. bei ni kati ya 20000-35000. Kulingana na uzito. Napatikana Kunduchi Dar es Salaam. Wateja walio serious (Namaanisha wanaotaka kununua na sio wa kupoteza muda) nitumie PM.
KUKU WENYEWE NI KAMA WANAVYOONEKANA KWENYE PICHAView attachment 221984
KUKU WENYEWE NI KAMA WANAVYOONEKANA KWENYE PICHAView attachment 221984