Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 682
Habari za kazi ndugu wana JF.
Nimejaribu kufuga kuku wa kienyeji na machotara huko vijijini sehemu za tanga, kwa majaribio hayo nime anza na wachache sana kama 250 wa umri tofauti, sasa wamesha kua wakubwa tatizo ni soko. Lengo langu ilikua niwe na kuku 1000 kwa mwezi.
Nili jaribu kosoma articles humu ndani ya JF wengi wakisema kua kuna biashara nzuri na wana bei nzuri ingawa ni nyuzi za zamani zilizo andikwa humu. Je wama jamvi kuna mtu au watu wanao fahamu kuhusu biashara hii hapo dar es salaam au tanga, kama kuna soko zuri na bei nzuri. Kwa hapo kijijini wanataka 7000 kwa jogoo mwenye miezi minne na nusu na hiyo bei ni ya hasara kabisa, ni sawa na bei ya broilers.
Kama kuna mtu anafahamu kuhusu biashara hii tujaribu kuwasialina, niko tiari ku invest na kufuga kwa kusupply hata zaidi ya kuku 1000 kwa mwezi, mradi soko la uhakika tu na bei nzuri.
Ahsanteni.
Nimejaribu kufuga kuku wa kienyeji na machotara huko vijijini sehemu za tanga, kwa majaribio hayo nime anza na wachache sana kama 250 wa umri tofauti, sasa wamesha kua wakubwa tatizo ni soko. Lengo langu ilikua niwe na kuku 1000 kwa mwezi.
Nili jaribu kosoma articles humu ndani ya JF wengi wakisema kua kuna biashara nzuri na wana bei nzuri ingawa ni nyuzi za zamani zilizo andikwa humu. Je wama jamvi kuna mtu au watu wanao fahamu kuhusu biashara hii hapo dar es salaam au tanga, kama kuna soko zuri na bei nzuri. Kwa hapo kijijini wanataka 7000 kwa jogoo mwenye miezi minne na nusu na hiyo bei ni ya hasara kabisa, ni sawa na bei ya broilers.
Kama kuna mtu anafahamu kuhusu biashara hii tujaribu kuwasialina, niko tiari ku invest na kufuga kwa kusupply hata zaidi ya kuku 1000 kwa mwezi, mradi soko la uhakika tu na bei nzuri.
Ahsanteni.