cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
- Thread starter
- #21
Uliyapasua au uliyahifadhi yakiwa mazimaKuna siku nilijaribu kununua mayai mawili ya kisasa na kuyahifadhi kwa siku 10, siku ya 10 kuyacheck yanatoa funza na harufu kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliyapasua au uliyahifadhi yakiwa mazimaKuna siku nilijaribu kununua mayai mawili ya kisasa na kuyahifadhi kwa siku 10, siku ya 10 kuyacheck yanatoa funza na harufu kali.
MKUU UNACHOTAKA KUJUA HAKINA TOFAUTI NA HAYA MAHINDI YAKUNUNUA DUKANI CKUIZI YAKIOTA HUWEZI KUPANDA TENA SHARTI URUDI KWAO WAKUPE MBEGU NYINGINE, INSHOT VITU VISHAFANYWA BIASHARA VIUMBE ASILI VISHATOWESHWA, NI MW3NDO WA KUFANYWA WATEJA WA DAWA ZA KANSA,FIGO,MOYO, PRESHA NA KISUKARI, BIASHARA ZA WAKUBWA WA DUNIAJamani kwa wajuzi wa mambo naomba mnisaidie, nimezoea kuwaona kuku wa kisasa na huwa hawatagi, swali langu vifaranga vyake vinapatikana vipi?