jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,089
- 424
Habari wanajamii wenzangu,
Samahani kwa usumbufu ntakaouleta ila muda mwingi nawaza biashara gani ya kufanya na bado naona kichwa kinantesa na nimeona bora niombe msaada wa kujuzwa kuhusu kufuga kuku wa kisasa kwa ajili ya kibiashara zaidi na nlikua naomba msaada wa kujua bei ya Kifaranga kimoja cha kuku na mpaka anakua anachukua muda gani na je gharama ya kifaranga mmoja kumlisha kwa siku ni shillingi ngap?
Nlikua naulizia kuhusu sindano ya kinga wanayochomwa Kuku,je inakinga dhidi ya magonjwa yale yaliokua yanawasumbua kama kawaida au?mana kuna kipindi kuku walikua wanaanguka ovyo yani kama wanakua na ugonjwa wa kusinzia sinzia,je hii kinga ni dhidi ya huu ugonjwa au?mana kuna kipindi tulikua na Kuku 5 nao wakafa kwa ugonjwa huu wa kusinzia sinzia.
Ntashukuru nikihabarishwa zaidi mana naamini sehemu moja wapo ya kupata elimu ya maisha ni jamii forum.
Jashmoe
Samahani kwa usumbufu ntakaouleta ila muda mwingi nawaza biashara gani ya kufanya na bado naona kichwa kinantesa na nimeona bora niombe msaada wa kujuzwa kuhusu kufuga kuku wa kisasa kwa ajili ya kibiashara zaidi na nlikua naomba msaada wa kujua bei ya Kifaranga kimoja cha kuku na mpaka anakua anachukua muda gani na je gharama ya kifaranga mmoja kumlisha kwa siku ni shillingi ngap?
Nlikua naulizia kuhusu sindano ya kinga wanayochomwa Kuku,je inakinga dhidi ya magonjwa yale yaliokua yanawasumbua kama kawaida au?mana kuna kipindi kuku walikua wanaanguka ovyo yani kama wanakua na ugonjwa wa kusinzia sinzia,je hii kinga ni dhidi ya huu ugonjwa au?mana kuna kipindi tulikua na Kuku 5 nao wakafa kwa ugonjwa huu wa kusinzia sinzia.
Ntashukuru nikihabarishwa zaidi mana naamini sehemu moja wapo ya kupata elimu ya maisha ni jamii forum.
Jashmoe