Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji kwenye gudulia nimecheka mpaka nataka kupaliwa.....mie mroho huyo nala na salad tu lol
he he he....hafi akitoka hapo lazima ajinyooshe kwa kuvimbiwa...Kuku mzima? Wataka niulia ndugu yangu wewe lol
karibu mama ni mtam pia sana hapa nimevimbiwa....Kuku anavutia huyo!!
Ahsante mamy.
na salad kuku mzima umle wewe :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:Maji kwenye gudulia nimecheka mpaka nataka kupaliwa.....mie mroho huyo nala na salad tu lol
na salad kuku mzima umle wewe :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
Na kusinzia je maana shibe yakevya
asante sana kwa hii recipe, Mungu akubariki tunajifunza mengi sana humuJinsi ya kumatayarisha kuku
View attachment 164861
- Mgawe kuku kwenye kifua,Mgeuze ili mgongo uwe juu na mchanechane kwenye mapaja na kifua,dhumuni la kufanya hivo ni ili viungo vikolee vizuri.
View attachment 164863
- Kama unavyoona pembeni kuna vitunguu swaumu,vitwange na umpake mkuku,fanya kama unamfanyia masaji,weka viungo kwenye sehemu zote ulizomkata mkata hakikisha vinainga ndani,kisha muweke All around spices,na mchanganyiko wa viungo vya kuku vyenye uzile,giligilani,pilipilimanga,Kari,pilipili ya unga red paprika,endelea kumfanyia masaji tumia vidole.Malizia na juisi ya limau.Ukiwa unamuweka viungo muweke pande zote.Baada ya hapo kuku atakuwa na muonekano huu
View attachment 164864
- Muache kuku akolee viungo masaa kadhaa.
- Washa oven na uweke moto 200-225 degrees
- Mchome kuku na katikati uwe unachukua ile sausi inayotoka kwa kuku na kumnyinyizia kwa juu.Akiiva juu mgeuze na upande wa pili ili apate rangi na upande huo.Mwishoni ukitaka crispy skinn weka grill juu kwa dakika tano.
All around spices
- Kuku tayari kwa kuliwa,unaweza kumla na msosi wowote,wali,chipsi ugali n.k
View attachment 164862
Cc Revocatus Kashaga
Ahsante kwa rep power farkhina!!
Dah!!! pembeni una mchicha wako wa nazi, pili pili mbuzi na ugali wa kufa mtu na gudulia la maji baridi, ukitoka hapo mpaka jasho inatoka kwa utamu wa msosi.
hahaha Yummy