Philemon38
Member
- May 30, 2018
- 74
- 31
Mimi ni mfugaji wa kuku hapo sina uzoefu sana ila katika zoezi hilo nimekutana na changamoto ya ugonjwa ambao nimeshndwa kuutambua, naombeni ufumbuzi wa hili tatizo wakuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuu ntalifanyia kaziNi mafua ya kuku
Tena ni mafua makali pata dawa ya Tylodox, Limoxlin au enrovet
Mgonjwa mgumu kutibaka kama una vifaranga vyote vinaweza kufu.
Macho ya kuku yanaziba anakuwa kipofu
Tupe tiba rafiki kama unaijuaHiyo kwa uzoefu wangu ni ndui sio mafua. Mafua makali huwa yanaathiri macho tu(yanavimba na/ kuziba kabisa). Ila ndui huathiri maeneo ya wazi ya ndege upande wa kichwani.
Nadhani ulichoeleza ni sawa ila ningemshauri kununua OTC 50% badala ya 20%.Ndui ya kuku hushusha Sana kinga ya kuku
Nini Cha kufanya
Nunua otc 20% na vitamin Kisha wape kuku wako ili kuboost kinga
Kisha.
Tafuta mafuta ya ng'ombe wapake maeneo yaliyoathirika asubh na jion
Utaona Yale maeneo yaliyoathirika maghamba yanatoka yatoe taratibu
Au
Kama utakosa mafuta ya ng'ombe tumia ya kondoo au maziwa ya fresh ya ng'ombe yasiyo na maji tumia lile tui zito kupaka kwenye vidonda
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
We ni daktari?Ni mafua ya kuku
Tena ni mafua makali pata dawa ya Tylodox, Limoxlin au enrovet
Mgonjwa mgumu kutibaka kama una vifaranga vyote vinaweza kufu.
Macho ya kuku yanaziba anakuwa kipofu
Baba kama Mafua , chukua magadi , twanga tangawizi mbichi, na pilipili yoyote ,then weka kwenye maji wape wanywe halafu wakimaliza wape glucose utakuja kunishukuru . Hii dawa inatibu kuharisha namafua mara moja alnapita kwenye changamoto hii pia,hayo ni mafua makali na nimeokoto vifaranga wafu vyakutosha tu,dawa niliyoanza nayo ni otc 20% na Esb3 walichangamka lakini vifo havikuacha ingawa vilipungua idadi nikabadili dawa to tylodox leo wana siku ya pili na sijaokota vifo
pole mkuu
Sio mafua hayo,hio ni ndui na haina tiba inahitaji chanjo.Unachoweza fanya hapo pata spirit gandua hivyo vidonda kisha safisha kwa spirit.Mara nyingi kama utakua makini kwenye kuwasafisha mara kwa mara watapona.Zingatia kuwapa dawa za vitamini zitawapunguzia stress na kuongeza hamu ya kula.Nashukuru sana mkuu ntalifanyia kazi
Hiyo ni ndui imechanganyikana na mafua.Mimi ni mfugaji wa kuku hapo sina uzoefu sana ila katika zoezi hilo nimekutana na changamoto ya ugonjwa ambao nimeshndwa kuutambua, naombeni ufumbuzi wa hili tatizo wakuu.
View attachment 2384508View attachment 2384509View attachment 2384510
Vema ungechangia nawewe kumsaodia ndugu mfugaji halafu mwisho ungekosoaNinaposoma comment za watu humu ninachogundua watu waliowengi ni watupu sana kwenye ufugaji.Tujitahidi sana walau kusoma vijarida vya ufugaji ili tupunguze hasara.
Kwakweli comment nyingi zinanifikirisha sana.
Nilianza kumshauri kwanza,soma comment no 16 mkuuVema ungechangia nawewe kumsaodia ndugu mfugaji halafu mwisho ungekosoa
Sawa tumekosea haya tupe maoni yako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app