Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Nimeongeza maarifa. ThanksYai linaweza kutagwa bila jogoo...jogoo kitu pekee anafanya ni kuhamisha chromosomes kwenda kwenye yai teke lililo mwilini mwa kuku jike ili kuunda kiumbe kitachokua ndani ya yai pindi litapotagwa...
Hata wanawake huwa wanadondosha yai/mayai kila mwezi na hutolewa na damu ya hedhi kama hayajarutuboshwa na mbegu za kiume...
Yai ni seli inayojitegemea...