britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Namshangaa yeyote anayejinasibu kukuza uchumi wakati bado hali ya Watanzania waliowengi ni maskini hawana uwezo wa kununua hata mahitaji muhimu.
PPP ya Tanzania inazidiwa na Kenya, Rwanda, Uganda
Maswali ya Msingi
1. Wangapi wana uwezo wa kufanya mahemezi ya kila siku.
2. Wangapi Waliokuzunguka wana uwezo wa kwenda dukani kununua sukari, Unga, Mchele na Mafuta ya Kula.
3. Wangapi wana uwezo wa kununua hata hayo maji ambayo ni wajibu wa serikali kuyaleta?
Britannica
PPP ya Tanzania inazidiwa na Kenya, Rwanda, Uganda
Maswali ya Msingi
1. Wangapi wana uwezo wa kufanya mahemezi ya kila siku.
2. Wangapi Waliokuzunguka wana uwezo wa kwenda dukani kununua sukari, Unga, Mchele na Mafuta ya Kula.
3. Wangapi wana uwezo wa kununua hata hayo maji ambayo ni wajibu wa serikali kuyaleta?
Britannica