Kukua na kusambaratishwa kwa Chama Cha Black panthers na FBI, Pia wafahamu baadhi yao waliokimbilia Tanzania

Kukua na kusambaratishwa kwa Chama Cha Black panthers na FBI, Pia wafahamu baadhi yao waliokimbilia Tanzania

Aisee safi sana

Hao outlaws kwanini walikuwa wanatafutwa ili wauwawe ??
kwasababu ni kizazi cha mtu hatari (tupac) alikua anaikashfu serikali kila siku, kwahiyo alikua anadhorotesha ujinga wa serikali na jeshi lake, ukiwaacha wengine kati yake waishi ni sawa na kufuga wakina tupac 200. Na hawakuanza kumuua tupac tu, wameanza na kina Lenon waliopiga vita madawa ya kulevya, bob marley na wengine kibao
 
Ni wamarekani waliokimbilia TZ miaka ya 1970, walipata watoto nafikiri wakiwa Tanzania...... hongera kama umepata kukutana nao, nimepost picture hapo juu ya mzee O Neal na mke wake
Kwenye ngoma za chindo za zaman uyo mzee yupo sana na mama Charlotte
 
hii kitu wameitolea movie inaitwa Judas and the black Messiah

ya mwaka 2021...nzuri sana
 
Back
Top Bottom