anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 640
- Thread starter
- #21
kwasababu ni kizazi cha mtu hatari (tupac) alikua anaikashfu serikali kila siku, kwahiyo alikua anadhorotesha ujinga wa serikali na jeshi lake, ukiwaacha wengine kati yake waishi ni sawa na kufuga wakina tupac 200. Na hawakuanza kumuua tupac tu, wameanza na kina Lenon waliopiga vita madawa ya kulevya, bob marley na wengine kibaoAisee safi sana
Hao outlaws kwanini walikuwa wanatafutwa ili wauwawe ??