Kukubali kupita bila kupingwa ndiyo chanzo cha wabunge kudharauriwa

Kukubali kupita bila kupingwa ndiyo chanzo cha wabunge kudharauriwa

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Hali ilipofika kwa sasa wabunge wa bunge la ccm lililopita bila kupingwa mambo sio mambo.

Humo ndani ni vikumbo tu. Hakuna Mbunge ana mhehimu mwenzake.

Mawaziri nao wanawona wabunge kama ni hamna kitu. Wanawajibu wanavyojisikia.

Huku wananchi hawana habari kabisa na Bunge.

Yaani watu wako bize kusikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na vyombo vya habari lakini sio Bunge.

Siku za nyuma sherehe za ccm february 5 kila mwaka zilikuwa zina vuma sana. Leoni kama hakuna kilichotokea.

Wabunge wa bunge la 2020 hakuna wanachoweza zaidi ya kujadili Uganga kwa mujibu wa Dr Mwigulu
 
Hali ilipofika kwa sasa wabunge wa bunge la ccm lililopita bila kupingwa mambo sio mambo.

Humo ndani ni vikumbo tu. Hakuna mbunge ana mhehimu mwenzake.

Mawaziri nao wanawona wabunge kama ni hamna kitu. Wanawajibu wanavyojisikia.

Huku wananchi hawana habari kabisa na Bunge.

Yaani watu wako bize kusikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na vyombo vya habari lakini sio Bunge.

Siku za nyuma sherehe za ccm february 5 kila mwaka zilikuwa zina vuma sana. Leoni kama hakuna kilichotokea.

Wabunge wa bunge la mwendazake hakuna wanachoweza zaidi ya kujadili Uganga

Mbona sherehe za kuzaliwa ccm zimefana sana, kwani wewe upo kijiji gani???
Maana kila kona ni “mama anaupiga mwingi “
 
Watu na PHD wanataka bunge liwe kijiwe cha kujadili uganga hawataki kuwa accountable na madaraka waliyopewa. Alafu tulio ibiwa kura tunaambiwa tuende Burundi.

Tukitaka kuhoji matumizi ya pesa zetu tunaletewa terminology za Trab and Trat alafu huyo PHD holder mwenye profession yake hawezi kueleza maana ya Trab and Trat kwa sentesi moja inayoelewaka.
 
Watu na PHD wanataka bunge liwe kijiwe cha kujadili uganga hawataki kuwa accountable na madaraka waliyopewa. Alafu tulio ibiwa kura tunaambiwa tuende Burundi.

Tukitaka kuhoji matumizi ya pesa zetu tunaletewa terminology za Trab and Trat alafu huyo PHD holder mwenye profession yake hawezi kueleza maana ya Trab and Trat kwa sentesi moja inayoelewaka.
Hakuna bunge pale ambalo PhD holder anaweza kupoteza muda ku address vitu wasivyoelewa.
Taletale, Mwanafa, Temba, msukuma, n.k
 
Bungee lilikuwa la Mzee SITA na mama Makinda lakini hili la kupita bila kupingwa halina heshima Kwa wananchi Wala thamani achilia mbali mvuto.
 
Back
Top Bottom