Hali ilipofika kwa sasa wabunge wa bunge la ccm lililopita bila kupingwa mambo sio mambo.
Humo ndani ni vikumbo tu. Hakuna mbunge ana mhehimu mwenzake.
Mawaziri nao wanawona wabunge kama ni hamna kitu. Wanawajibu wanavyojisikia.
Huku wananchi hawana habari kabisa na Bunge.
Yaani watu wako bize kusikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na vyombo vya habari lakini sio Bunge.
Siku za nyuma sherehe za ccm february 5 kila mwaka zilikuwa zina vuma sana. Leoni kama hakuna kilichotokea.
Wabunge wa bunge la mwendazake hakuna wanachoweza zaidi ya kujadili Uganga
Umesikia wapi?Mbona sherehe za kuzaliwa ccm zimefana sana, kwani wewe upo kijiji gani???
Maana kila kona ni “mama anaupiga mwingi “
Hakuna bunge pale ambalo PhD holder anaweza kupoteza muda ku address vitu wasivyoelewa.Watu na PHD wanataka bunge liwe kijiwe cha kujadili uganga hawataki kuwa accountable na madaraka waliyopewa. Alafu tulio ibiwa kura tunaambiwa tuende Burundi.
Tukitaka kuhoji matumizi ya pesa zetu tunaletewa terminology za Trab and Trat alafu huyo PHD holder mwenye profession yake hawezi kueleza maana ya Trab and Trat kwa sentesi moja inayoelewaka.
Na wao wamefanyaje?Covid 19
Mbunge gani tenaMbunge wetu ni mjinga kama Magufuli
Mnyika aliwapitisha kinyemela hapo Ufipa st!Na wao wamefanyaje?
Heheee akwapa na polisi wakuwalinda? Na gerezani akawatoa kwa Bwana jela usiku? Basi Huyo Mnyika ni zaidi ya dola.Mnyika aliwapitisha kinyemela hapo Ufipa st!
Wabunge wa Magufuli na sasa wa SamiaCovid 19