Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.
Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali
Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuu?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020!. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi?, na badala yake mgombea urais wa CCM, Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli atangazwe tuu, na Wagombea Watakao Teuliwa na chama dola CCM watangazwe tuu moja kwa moja kuwa wamepita bila kupingwa?.
Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.
Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa mezani wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi kwa mujibu wa African Democracy na Tanzanian Democracy ambapo uchaguzi wa vyama vingi vya siasa unafanyika, halafu chama kimoja kinapata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kisha mshindi anasherehea ushindi huo na uchaguzi huo kuhesabika ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.
Kipimo halisi cha uchaguzi wa demokrasia ya kweli na demokrasia ya haki, ushindi wa haki wa uchaguzi huru na wa haki, hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, votes casted, na mshindi halali kupatikana kwa aliyepigiwa kura nyingi. Lakini sio ushindi huu wa mezani.
Lakini kwa vile kanuni zetu za uchaguzi zinaruhusu ushindi wa mezani, no vote casted due to no show, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.
Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani kufuatia kufanyiwa figisu, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.
Sasa kama hili limefanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na limepita na limekubalika kwa uchaguzi wa vyama vingi, chama kimoja kikashinda ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% na uchaguzi huo ukahesabika ni uchaguzi huru na wa haki na mshindi ni mshindi halali, hii ni African Democracy na Tanzanian Democracy it's only in Africa and only in Tanzania.
Sasa naombeni mimi mwezenu niwe wa kwanza kuwatangazia rasmi kuwa matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yalikuwa ni dalili tuu ya mvua, mvua yenyewe halisi ni kwenye Uchanguzi Mkuu wa mwaka 2020, kama ushindi hui ni lele, ngoma ni uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Matokeo ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, ni CCM tena kwa ushindi wa kishindo ila kishindo cha uchaguzi Mkuu hakitakuwa cha ushindi wa asilimia 99.9% kama uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu Uchanguzi Mkuu unahusisha Zanzibar, hivyo party ya ushindi wa CCM, itatibuliwa na yale majimbo mawili ya Zanzibar, ns majimbo ya kisiwa cha Pemba, hivyo kishindo kinaweza kuwa kwenye kati ya around 80%-90%, ila ni ushindi wa kishindo.
Naomba kutoa hongera sana in advance kwa CCM kwa ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu ujao wa rais, wabunge na madiwani hapo mwakani 2020, ila pia naomba kusisitiza, kwa vile CCM itashinda ushindi wa kishindo kutokana na kukubalika sana kwa CCM, sasa imekubalika sana kwa Watanzania wote kufuatia kazi nzuri ya rais
Magufuli, anayoifanya, imekubalika, na rais Magufuli amekubalika sana, Rais Magufuli, serikali, CCM na viongozi wote tutende haki, ushindi huu uwe wa haki, tusifanye figisu kama za uchaguzi wa serikali za mitaa. Uchaguzi wa 2020 CCM ikishinda kwa figisu, karma itaingilia kati hivyo kuja ku counter check furaha ya ushindi huo!.
Hongera sana Watanzania kuikubali CCM,
Kumkubali JPM
Viva African Democracy
Viva Tanzanian Democracy
Paskali
Kuna msemo wa Waswahili usemao, " Mwanzo wa ngoma ni lele" na "Dalili ya Mvua ni Mawingu". Tukubali, tukatae, huu ushindi wa kishindo cha Magufuli, cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ni mawingu tuu ya dalili za mvua, lakini mvua yenyewe ni Uchaguzi Mkuu wa 2020, na kama hizi kelele ni kelele za ngoma, then hii ni lele tuu, ngoma yenyewe ni 2020!.
Leo tena nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambapo makala ya leo inajikita kwenye swali
Je Wajua Kuwa Hiki Kishindo cha Ushindi wa CCM, Kushinda kwa Asilimia 99.9% Kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni Mwanzo Tuu?, Kazi Yenyewe Haswa Kukamilika Uchaguzi Mkuu wa 2020!. Jee Huu Sasa ni Uthibitisho wa Rais Magufuli na CCM Kukubalika Sana na Wananchi?. Kufuatia Kukubalika Huku, Kweli Kuna Haja ya Kufanya Uchaguzi 2020?, or Lets Just Save Time, Money and Resources Kwa Kutokufanya Uchaguzi?, na badala yake mgombea urais wa CCM, Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli atangazwe tuu, na Wagombea Watakao Teuliwa na chama dola CCM watangazwe tuu moja kwa moja kuwa wamepita bila kupingwa?.
Au kwa vile kufanya uchaguzi ni takwa la kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, 2020 tufanyie tuu Uchanguzi Mkuu hata kama ni igizo tuu la uchaguzi lakini as of now tayari mshindi ni CCM kwa precedence ya matokeo ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa?.
Naomba kwanza nianze kwa kukipongeza Chama Cha Mapinduzi, CCM kwa ushindi wa mezani wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kishindo hiki mimi nakiita ni "Kishindo cha Kasi ya Magufuli" na ni uthibitisho wa kukubalika kwa chama cha siasa kwa wananchi kwa mujibu wa African Democracy na Tanzanian Democracy ambapo uchaguzi wa vyama vingi vya siasa unafanyika, halafu chama kimoja kinapata ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%, kisha mshindi anasherehea ushindi huo na uchaguzi huo kuhesabika ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki!.
Kipimo halisi cha uchaguzi wa demokrasia ya kweli na demokrasia ya haki, ushindi wa haki wa uchaguzi huru na wa haki, hupimwa kwa idadi ya kura wananchi wanazokipigia chama fulani, votes casted, na mshindi halali kupatikana kwa aliyepigiwa kura nyingi. Lakini sio ushindi huu wa mezani.
Lakini kwa vile kanuni zetu za uchaguzi zinaruhusu ushindi wa mezani, no vote casted due to no show, na ushindi hutangazwa mwisho wa mashindano, anayetangazwa mshindi, ndie mshindi halali kwa mujibu wa kanuni ya "the end justifies the means", naomba sote tukubaliane CCM ndie mshindi halali regardless uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, mshindi ni mshindi, "the winner takes it all, the loser standing small" hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.
Uchaguzi huru na wa haki ndicho kipimo pekee cha kupima kukubalika huku, lakini pale ambapo chama kimepata ushindi wa kishindo kwa asilimia 99.9%, ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani kufuatia kufanyiwa figisu, hivyo aliyebaki anatangazwa mshindi halali kwa kupitia bila kupingwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika.
Sasa kama hili limefanyika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na limepita na limekubalika kwa uchaguzi wa vyama vingi, chama kimoja kikashinda ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9% na uchaguzi huo ukahesabika ni uchaguzi huru na wa haki na mshindi ni mshindi halali, hii ni African Democracy na Tanzanian Democracy it's only in Africa and only in Tanzania.
Sasa naombeni mimi mwezenu niwe wa kwanza kuwatangazia rasmi kuwa matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yalikuwa ni dalili tuu ya mvua, mvua yenyewe halisi ni kwenye Uchanguzi Mkuu wa mwaka 2020, kama ushindi hui ni lele, ngoma ni uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Matokeo ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, ni CCM tena kwa ushindi wa kishindo ila kishindo cha uchaguzi Mkuu hakitakuwa cha ushindi wa asilimia 99.9% kama uchaguzi wa serikali za mitaa, kwasababu Uchanguzi Mkuu unahusisha Zanzibar, hivyo party ya ushindi wa CCM, itatibuliwa na yale majimbo mawili ya Zanzibar, ns majimbo ya kisiwa cha Pemba, hivyo kishindo kinaweza kuwa kwenye kati ya around 80%-90%, ila ni ushindi wa kishindo.
Naomba kutoa hongera sana in advance kwa CCM kwa ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu ujao wa rais, wabunge na madiwani hapo mwakani 2020, ila pia naomba kusisitiza, kwa vile CCM itashinda ushindi wa kishindo kutokana na kukubalika sana kwa CCM, sasa imekubalika sana kwa Watanzania wote kufuatia kazi nzuri ya rais
Magufuli, anayoifanya, imekubalika, na rais Magufuli amekubalika sana, Rais Magufuli, serikali, CCM na viongozi wote tutende haki, ushindi huu uwe wa haki, tusifanye figisu kama za uchaguzi wa serikali za mitaa. Uchaguzi wa 2020 CCM ikishinda kwa figisu, karma itaingilia kati hivyo kuja ku counter check furaha ya ushindi huo!.
Hongera sana Watanzania kuikubali CCM,
Kumkubali JPM
Viva African Democracy
Viva Tanzanian Democracy
Paskali