hivi jani likishadondoka huwa linarudi tena mtini?
Sijawahi kukumbushia na mpenzi, yaani aliyepita amepita hata kama alinidatisha vipi. Huwa nakinai watu!..tukigongana mitaani ni salamu hata maongezi si zaidi. Sihusudu kabisa vya zamani inapokuja suala la mapenzi!!
Nadhani wengi wanaokumbushia wanakuwa na stress au kuboreka ndo siku anaaamua kumtafuta wa zamani ili apunguze vituz..au mihemko tu inakuwa imechachamalia na kutaka kukumbushia..!
Vipi wako akienda kukumbushia?
Kwani atakuaga kuwa ameenda kukumbushia???
Kukumbushia muhimu
1. Kunaondoa stress
2. Kunasaidia kubadili mboga bila madhara makubwa
3. Kama ndiye uliyempenda kikweli inakupa kuonja bila gharama.
4. Hutumii nguvu kupanga mashambulizi.
Naona umesahau methali isemayo ' mahawara hawaachani'
umalaya mtupu.... kukumbushia kitu gani?...uzinzi tu hakuna loloteJani lipo stationary,haliongei na halina hisia yoyote
Watu wanatembea na kuongea na kuwa na hisia
Si lazima stress, kukumbushia kuna sababu nyingine nyingi tu.
Sasa mnyimane nini wakati mnajuana? Uanze kumdengulia wakati labda siku hiyo kakosa au kazidiwa?
Mkishakuwa na mahusiano mnakuwa kama karanga tu, mnaonjana any time bana.
Kukumbushia mara nyingi huwa ni faida zaidi ya hasara kwani ni HESHIMA ndiyo inaplay big part.Si kwamba kuna upungufu au kutoridhika na mapenzi yaliyopo ni roho ilipenda zaidi. Mambo ya kuzingatia ni USIRI. Yes i said!
kiporo hakihitahi moto mwingi, au siyo!
naomba definition ya u.ma.la.ya tafadhali.
Ni hali ya kugongwa na Mwanaume zaid ya Mmoja kwa kipindi kimoja.
Eg wewe Kongosho , ulipogongwa na kale kajamaa hadi uka abort, technically nawe uli practise UMALAYA