Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Mokaze,
Unadhani nitapata maziko makubwa?
Maziko makubwa yaliyopata kutokea Dar es Salaam ni haya yafuatayo:
Maziko ya Sheikh Idrissa bin Saad, Sheikh Kaluta Amri Abeid, Abdulwahid Sykes, Sheikh Kassim bin Juma, Mzee Kitwana Dau na Sheikh Ilunga Kapungu.
Na Shekhe Ilunga naye yumo?