kukuwa maziwa kwa wanaume kuna dawa??

kukuwa maziwa kwa wanaume kuna dawa??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
nimeona baadhi ya makaka wakiwa na vifua vikubwa huku sehemu za maziwa zikiwa kubwa tofauti na wanume wengine ningependa kuomba msaada kwa wenye proff zao kutusaidia na kama kuna dawa zakuondoa kuvimba maziwa ni zipi na nini cha kufanya natumaini tutawasaidia wengi sana..

kuna ndugu yangu alikuwa ana matatizo haya ,ila yeye kila akila maziwa ya unga maziwa yanavimba au akila kuku wa kizungu tatizo kubwa la maisha
sasa labda nimeanza wenye sababu za kutokea haya tusaididane

yuleyule

mama yenu mia
 
kuna hormones za kuyasupress.

On top mwanamume mwenye kuwa na matiti makubwa ni wazi kuwa anahormone nyingi za kike kama walivyonazo gays.
 
Back
Top Bottom