Kukuweka mkono kwenye nyeti

Kukuweka mkono kwenye nyeti

Sasa huo ndo ustaarabu gani jamani?! Mibaba ya dizaini hii ndo inayotembea na mahouse girl kwa makusudi halafu yanasingizia eti wife mvivu......ovyoooooo!!! Siku nyingine akikuita mtemee mate usoni!
 
ninyi si huwa mnalalamikia size? sasa jamaa anataka upime mwenye kabsaa!!
Kama ndo hivyo basi wasivae kitu chochote kule ndani halafu watembee ivoivo waziwazi bila kufunga zipu ili tuwe tunaona vizuri kabisa!!
 
Kama ndo hivyo basi wasivae kitu chochote kule ndani halafu watembee ivoivo waziwazi bila kufunga zipu ili tuwe tunaona vizuri kabisa!!

Ahahahahaaaaahh!!! Hapo watu si mtakimbiana barabarani, maana nyingine zinatisha hazitazamiki...
 
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
Sasa we Vaislay, mbona unauliza ukiwa ushapata jibu. Si umesema anataka kukutongoza! Hiyo anakupa pre-message. Resiponse yako ndo itamwambia go a step further....
 
Madingi ya siku hizi usanii mwingi, yanamitego kweli teh!
 
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?

Nilidhani unataka kuzungumzia wale wanaoshikaga hapo kwa dudu kama vile wasanii wa ubongo wa fleva!
Ila hii sijawahi kuisikia kbs!
Kweli ukistaajabu ya Musa....!
 
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?

anakupatia ujumbe ya kuwa yeye hataki mzaha.......ni ngono tu imemvuta kwako........lol
 
Hiii mpya..

Dahhh
nilivyoona kichwa cha thread
Nilidhani ni ile unamuona mwanaume
Barabarani atatembea kiupande upande
Halafu anavuta dudu lake chini hivi.. halafu
Ndo sasa ataanza kutembea vema..
Kuna mwingine alivuta dudu kanisani..
Nini tu jamani.. kuvuta vuta ..??

Haiumii?? Maana ya onekana mnatumia energy dahhhhhh poleni

lol, nimecheeeka hadi wa2 wananishangaaa, jamani mtatulaza hooi kwa vicheko, dah!
 
dunia hii sasa inaelekea pabaya;wanaume wamedanganya mpaka wanakosa maneno wanaanza vitendo.dume latembelea mke wa mtu amkuta kakaa na mumewe, baada ya kuongea anaanza kumlambia lipsi mke wa mtu tena kwa kuiba mwente mke asione,we si unajiamini bana lamba hiyo midomo yako mwenye mali akuone,vipi tena kakaz na mababaz?????
 
may be inakuwa imetoka nje ya boxer wanataka kuireplace pahala pake.
hahahahaha! Jamani, ndio watumie mikono ya wenzao. Kama zinatoka toka nje inabidi wawe wanazifunga na kamba zitulie..
 
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?

Asee!!!!
Ushawahi kutongozwa na watu wangapi wa aina hii Vaislay?
 
Hiyo staili wala si mpya na wala msimshangae mleta mada mimi ilishawahi kunikuta nikiwa A level na ni way back more than 10 years a go. Kuna kaka tulikuwa shule moja boarding school (mixture) sasa yale mambo ya kupaty, tunacheza mziki nashangaa anachukua mkono wangu na kuupeleka kwenye suruali yake na alikuwa keshalowa. Ni kama alikuwa ananambia ana hali mbaya; wakati we were not lovers but just friends. Sikumwambia mtu pale shule maana ningemzibia wakati sikuwa na mpango nae though wadada wengi walikuwa wanamzimikia. Kaka mwenyewe ni gentleman na wala si muhoga wa kusema anaogopa kutongoza lakini nashangaa yalimsibu yapi siku hiyo. Sijawahi kumuona toka tumalize shule ila huwa naongea nae akiwa online as if nothing happened. Hakuna maisha yenye story to tell kama maisha ya boarding.

hahaha NK nimecheka kweli, in a way nilidhani kwamba ni wa muda zaidi ya hapo kumbe wa juzi juzi tu, unastahili kabisa kuwa nyumba ndogo LOL
 
Back
Top Bottom