Kukuza uchumi, nini kinakwamisha?

Kukuza uchumi, nini kinakwamisha?

Paradisehome

Senior Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
145
Reaction score
143
Kwema huko mwakwenu wandugu?
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kwa nn Africa kitu kinaitwa kianzio ni changamoto kwa % kubwa?
Tatizo ni nn?

Za chini chini zinasema kuwa kwa muda aliongoza Bw. Trump ameongeza ajira nchini kwa asilimia 24 hivyo imefanya watu wa hali ya chini kupata ajira na kujipatia kipato!

Kwa Africa nini tatizo?
Anayejua naomba mdadafuo,
Karibu
 
Trump mfanyabiashara alianza kutoa ajira miaka mingi sana.Huku nchi za kiafrica mfanyabiashara akitaka nafasi ya uongozi anaonekana anataka kuwaibia wananchi wa taifa lake. Tunataka wale ambao hawana kitu. Kama mtu alishindwa kujisimamia mwenyewe atawezaje kuwasimamia wenzake waende mbele kimaendeleo.Mtu huyo huyo ambaye anataka aongeze ajira Maisha yake yote aliajiriwa hadi anapata huo uongozi.Je atapata wapi huwezo wa kufikiria kuandaa ajira kwa wenzake?
 
Trump mfanyabiashara alianza kutoa ajira miaka mingi sana.huku nchi za kiafrica mfanyabiashara akitaka nafasi ya uongozi anaoneka anataka kuwaibia wananchi wa taifa lake. Tunataka wale ambao hawana kitu. Kama mtu alishindwa kujisimamia mwenyewe atawezaje kuwasimamia wenzake waende mbele kimaendeleo.Mtu huyo huyo amabaye anataka aongoze ajira Maisha yake yote aliajira hadi anapata huo uongozi.Je atapata wapi huwezo wa kufikiria kuandaa ajira kwa wenzake?
Matokeo yake tumempa mchunga ng'ombe usukan ambaye anatamani tajiri awe maskini Kama yeye unatarajia nini hapo mkuu??
 
Back
Top Bottom