Elifuraha Longu
Member
- May 8, 2014
- 73
- 10
Kilimo ni mojawapo ya njia ya kukuza na kuinua uchumi wa nchi yetu, lakini bado wakulima wanapata shida kubwa sana katika mambo mbalimbali ikiwemo.
Kukosa wataalam na washauri wa mbegu bora, changamoto za kupata mbolea na kikubwa zaidi kukosa soko la uhakika ya kuuza mazao.
Naamini kuwa serikali ikituboreshea masoko ya mazao uchumi na kipato cha nchi yetu itaongezeka.
Kukosa wataalam na washauri wa mbegu bora, changamoto za kupata mbolea na kikubwa zaidi kukosa soko la uhakika ya kuuza mazao.
Naamini kuwa serikali ikituboreshea masoko ya mazao uchumi na kipato cha nchi yetu itaongezeka.