surubu kwetu
Member
- May 13, 2014
- 59
- 12
We unasema ya mbuzi na kondoo
Mimi napiga ya nguruwe na sungura
MADHARA YAKE NI KWAMBA HAUTAFIKA 2014 UKIWA NA ID HIINimekuwa nakula na kunywa damu ya mbuzi,kondoo,ng'ombe pindi tunapochinja. Je kuna madhara ya kiafya?