Kula Hela ya Mtu Anaetafuta kwa Shida sana Halafu Unamnyima Mchezo ni Roho Mbaya

Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu... Inawezekana huyo rafiki yako ndio alikuwa anaenda kutoa papuchi kwa bodaboda ila alikuzuga tu.
 
Nawaonea sana huruma watu wanaofanya kazi ngumu.
Mf machinga anatembea kwa mguu km zaid ya 20 na hajauza kitu.
Hela ya mtu hata ukiila mheshimu, mjali.
Sasa mtu anakula hela na bado anazingua
 
Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu... Inawezekana huyo rafiki yako ndio alikuwa anaenda kutoa papuchi kwa bodaboda ila alikuzuga tu.
Labda ila haiwezekani
 
Shule nzuri aksante sana
 
Na pia kutumia vitu ili umpate mwanamke siwezagi kabisaaa. Nikija kukuomba ukisema sitaki, hayo ya kukupakia kwenye bajaji ili ukamfurahishe dume flan nichukie ni nani kaona? Ntakusubiri kwa kuwa nishajua weye sio bikra. Ukimpata domo zege atumiaye vitu kukupata kula hadi uvimbiwe ili siku unakwama au umeudhiwa kule upate pa kusuuzia
 
Si hamlazimishi mwache amnyonye kila kitu.
 
Hutumii kitu ila unafanya kumfurahisha unaempenda.
 
Duh! Huyo jamaa kweli ni kondesha mb.. na nenepesha k,yaani anakubali kuchunwa namna hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…