mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
Wana nzengo ngoja niwakumbushe huu mchezo ambao ki ukweli ni moja ya michezo ambayo iliweza kuteka hisia za wengi sana ktk umri Fulani Wa ukuaji wao
Kula kula mbakishie BABA unakuta hapo kuna mchanga halafu katikat kuna kijiti jichanganye sasa ule weeeeee halafu kijiti kianguke wewe ukiwa ndo unakata tonge Walahi kitakacho kukuta hujakuja sahau maisha yako yote
Kuna wengine bana walikua na tabia ya kuwa wakiona mnacheza huo mchezo wanakaa pembeni kusubiri udondoshe kijiti wakushambulie, unakuta mnao cheza ni watu 6 ila ukidondosha kijiti unapgwa na watu 60 hatari sana
Kula kula mbakishie BABA unakuta hapo kuna mchanga halafu katikat kuna kijiti jichanganye sasa ule weeeeee halafu kijiti kianguke wewe ukiwa ndo unakata tonge Walahi kitakacho kukuta hujakuja sahau maisha yako yote
Kuna wengine bana walikua na tabia ya kuwa wakiona mnacheza huo mchezo wanakaa pembeni kusubiri udondoshe kijiti wakushambulie, unakuta mnao cheza ni watu 6 ila ukidondosha kijiti unapgwa na watu 60 hatari sana