Kula mboga upate afya

Kula mboga upate afya

Kwa nn hzo tafiti hazijawai fanyiwa afrika?
Wakati huo hao wataalam wenu wote wanataka kuteuliwa, hawana muda wa tafiti...

Angalia Pofesa wa ndani na wa nje huko uone utofauti
 
daah labda kwako yaani APA nna miezi 2sijaonja nyama nazuga kesho nikale nyama uhakika kwenye mkutano was chama ccm Ntazifaidi sana
Ahaa kumbe nawe ni mxee wa lumumba
 
MBOGA ZA MAJANI

Utafiti uliofanyika nchini Uingereza umeonesha watu wanaokula mbogamboga pekee wana afya zaidi kuliko wanaokula nyama pekee.

Je, wewe unakula mbogamboga kwa sababu ya umasikini au kuimarisha afya yako ?
Mboga gani mkuu?Sato ama?
 
Back
Top Bottom