Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Duuh.. nahisi wewe nawe ni celebrity?.. Maana una waelewa, nikutafute uwe unanipa ubuyu mkuu?Kinje alikua nae zamani wakati kinje yupo well financially , alikimbiwa baada ya kufulia
hata sasa Hana hela huyo kinje , bi dada hawezi kuludi
Tafuta hela mkuu Ubuyu utakusaidia nini Mkuu,au una miliki magazeti ya udaku?Duuh.. nahisi wewe nawe ni celebrity?.. Maana una waelewa, nikutafute uwe unanipa ubuyu mkuu?
Sawa mkuu .. saluteTafuta hela mkuu Ubuyu utakusaidia nini Mkuu,au una miliki magazeti ya udaku?
huku JF wengine Tunaingia kujipoza na kujifuraisha baada ya kupigwa na Jua kali la siku
Dar ni kubwa lakini ni ndogo tunajuana kimjini mjini
Uongo mtupu hapa...."Unajenga tabia kisha tabia inakujenga"
tatizo dada yetu yeye ni mdangaji (mjasilia Mbunye) ni vigumu kuwa na akili za kijasirilia mali kishazoea kuvuna kupitia mbunye,ndio maana kipindi kile anapewa mabilion na mzee Mengi akafanye biashara,yy akazitapanya na kula bata.
Ila kama angekuwa type za wanawake wale wenye vision na idea,sasa hivi angekuwa na hela nyingi sizani kama angefikiria huo urithi,yaani kwa mwaka angekuwa na uwezo wa kutengeneza zaidi ya mil 500 kipitia miradi yake binafsi.
Ndio tabu ya wadada wa siku hizi wa mama wa zamani wana mahesabu makali,kuna mmama moja ni nyumba ndogo ya mzee mmoja alikiwa shirika la bima sasa hivi kishatumbuliwa,yule mmama ana maduka ya jumla ya vinywaji matatu na kampuni yake ya mapishi,pamoja na mzee kufulia yy bado haja tetereka.
Mimi nina uhakika huyu hata akipewa urithi wote wa mzee Mengi,ataishia kuzitapanya mali na kudhulumiwa tu.
Mambo ya kutunga ili kuharibu image ya mtu kisa ugomvi wa mali za marehemu. PatheticKatika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.
Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
Ukweli wako upo wapi..........Uongo mtupu hapa....
Tujifunze Mwanamke yoyote yule hata kama humpendi lakini Baba yako Mzazi amempenda na Kaamua Kumuoa tena mpaka Kuzaa nae utake usitake huyo ni Mama yako au Mama yenu tu vinginevyo utakuwa unajitafutia Laana ya bure kutoka kwa Baba yako. Katika Sakata la hawa hakuna Mshindi au Mshindwa ila kikubwa Kwao ni Kushirikiana, Kupendana na kama kuna Makosa basi wasameheane na Maisha yaendelee tu.Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.
Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
Mengi alimjengea shule huyo dada, na ana miradi mingine mikubwa tu
Simtetei Jacqueline au Watoto wa Marehemu Mengi, ila ninachojua tu ni kwamba Wote wana Haki na Kikubwa tu Maelewano ili Amani iendelee.Unamjua kyln unamsikia ?? Anataka kutunishiana misuli na wamachame aliambiwa Wakae chini wamalize akakataa anataka will fake ifatwe apewe yeye kila
Kitu sijui anajikuta nani 🤣🤣🤣
ndio maana yakafika mahakamani.
Duh huyo kylin hayuko vzuri kiuchumi sasa ndio maana akaanzisha sijui beauty legacy Ili apige pesa, mbaya zaidi urafiki na kundi lao umekufa, namhurumia Sana why alifake will alifikiria Machame huwa kunaendeka kirahisi na yeye mkigoma, dah I pity her wallah, nuru yote imeishaMaelewano hapo hakuna wenye mali wanamiliki mali yao yeye yupo kama beki tatu,wanaweza kumpa salary kwa mwezi au pesa ya matumizi tu na asifanye kitu