Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Ulivyo andika ni as if Jacky hana haki yoyote na anapaswa kuwanyenyekea wakina Regina ili aweze kupata haki zake

Kwa vyovyote vile Jacky ni mke halali wa marehemu anastahiki zote na mali za marehemu hadi pale mahakama itakapo fanya mgao kila mtu aendelee na maisha yake

Wanachofanya watoto wa marehemu ni ubabe dhidi ya mjane wa marehemu

Wangekaa naye tu chini wakayajenga akapewa kitengo ipp media maisha yangekuwa mepesi tu
Sema sasa watoto hawamkubali mama yao toka baba akiea hai
Amekufa imekua balaa

Apewe kitengo afanye kazi gani na form four yake ya division zero labda kuandalia chai wageni😂😂😂 au atoe Nyimbo mpya wampe promo

IPP hakuna mashindano ya umiss pale ni kazI tu na akili kubwa
 
Aiseee haya mambo kumbe bado yapo.? Jaq ana biashara zake yule dada za urembo/nguo , i don't think kama anamtegemea 100 pasee Regina/Abdiel ,halafu Jaq hawezi kukosa danga la kumpa mikwanja hapa town.

Kwa hiyo mnashauli aendelee kuishi kwa kutegemea madanga adi lini sasa?

danga akifa analudi tena kwenye msoto
 
Katika Interview ya jacky & millard ayo, jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite, na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyuJacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwez na yeye achukue hapo chake..ingawa Jacky ndo anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin

Siku Regina na abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala..
Hayakuhusu
 
Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana

Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo

Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii

Alipewa mtaji billions of money akaishia kua fundi Selemala Nyingine akala bata na wakina Nancy Sumari Dubai na Paris huko nani Tanzania hii ataendea kununua sofa set za million ishilini zA kutengeneza mtaani Aache kwenda China au turkey au kuchonga kwa kina home desire

alitegemea will yake fake ingemtoa ndio maana alijaisahau kufanya investment
 
Yule kylin alishazoea kudanga ili apewe hela sio za kutafuta mwenyewe, kwa hivyo hata Leo hii wakisema wakambidhi bonite hawezi kutoboa kimaisha

Kwa kuolewa na kuishi na mzee Mengi alitakiwa awe mbali sana kimaisha atlist awe na kiwanda hata cha kutengeneza toothsticks au toilet paper 😅😅😅sasa anaishi kwa child support ya usd 2000monthly huruma kwa kweli

Sasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.
Child support tu inamtosha kula bata yeye na watoto wake. Maana ni kubwa sana kwa maisha ya kibongo
 
Alipewa mtaji billions of money akaishia kua fundi Selemala Nyingine akala bata na wakina Nancy Sumari Dubai na Paris huko nani Tanzania hii ataendea kununua sofa set za million ishilini zA kutengeneza mtaani Aache kwenda China au turkey au kuchonga kwa kina home desire

alitegemea will yake fake ingemtoa ndio maana alijaisahau kufanya investment
Aiseeee
Inaelekea unamfahamu kindaki ndaki huyu mlimbwende?
 
Sasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.

Hiyo pesa Ni nyingi sana kama Una maisha ya wastani ila yeye anakosa hela ya kuwapa entertainment Mashoga zake na viserengeti boys vyake Na dada ake

Handbag na viatu alikua ananua za usd 10000 per pair na kuendelea Bado tea party za Hyatt na Serena kila week end
 
Kwani hii kesi ya mirathi haijaisha bado?
 
Mil 5 kwa jack ndogo sana ni kama matumizi ya wiki moja tu. Gharama za party zao na kuslay ni kubwa
Sasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.
Child support tu inamtosha kula bata yeye na watoto wake. Maana ni kubwa sana kwa maisha ya kibongo
 
Aiseee haya mambo kumbe bado yapo.? Jaq ana biashara zake yule dada za urembo/nguo , i don't think kama anamtegemea 100 pasee Regina/Abdiel ,halafu Jaq hawezi kukosa danga la kumpa mikwanja hapa town.
And that's the question..Jack hawezi kukosa danga town hapa,bado kuna mafisi maji wanamrondea lazima..urembo bado upo,arudi kwenye fani yake kama mirathi ngoma imekuwa ngumu
 
Ulivyo andika ni as if Jacky hana haki yoyote na anapaswa kuwanyenyekea wakina Regina ili aweze kupata haki zake

Kwa vyovyote vile Jacky ni mke halali wa marehemu anastahiki zote na mali za marehemu hadi pale mahakama itakapo fanya mgao kila mtu aendelee na maisha yake

Wanachofanya watoto wa marehemu ni ubabe dhidi ya mjane wa marehemu

Wangekaa naye tu chini wakayajenga akapewa kitengo ipp media maisha yangekuwa mepesi tu
Sema sasa watoto hawamkubali mama yao toka baba akiea hai
Amekufa imekua balaa
Mara nyingi watoto kumkubali mke wa baba inategemea uyo mama yukoje na hao watoto! Mi sidhani kama ilitokea tu bila sababu
 
Alipewa mtaji billions of money akaishia kua fundi Selemala Nyingine akala bata na wakina Nancy Sumari Dubai na Paris huko nani Tanzania hii ataendea kununua sofa set za million ishilini zA kutengeneza mtaani Aache kwenda China au turkey au kuchonga kwa kina home desire

alitegemea will yake fake ingemtoa ndio maana alijaisahau kufanya investment
Nasikia kashauza iyo ya furniture
 
Back
Top Bottom