Ulivoandika as if mdada yaan...kumbe libaba lizima lenye midevu...punguza kusoma umbbea esp kwa da mange wenuAiseee haya mambo kumbe bado yapo.? Jaq ana biashara zake yule dada za urembo/nguo , i don't think kama anamtegemea 100 pasee Regina/Abdiel ,halafu Jaq hawezi kukosa danga la kumpa mikwanja hapa town.
Miss buzaWho's Jacky??
Mi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
Au akupeleke kwao na wakwe wakusute Kiingereza, duniani tumeumbiwa mateso.
Wakikuweka mtu kati kwa Kiingereza lazima ufe.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi mwanaume mzima siwezi nunua kabichi niibebe mkononi.
Heri niipige danadana mpka nyumbani
Adamgishe tu sisi tuonje utamu[emoji1787]Kwa hiyo mnashauli aendelee kuishi kwa kutegemea madanga adi lini sasa?
danga akifa analudi tena kwenye msoto
Sema alikuwa anapewa 40m ila alipozidisha kimbelembele akapewa 12m.Katika Interview ya jacky & millard ayo, jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite, na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyuJacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwez na yeye achukue hapo chake..ingawa Jacky ndo anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin
Siku Regina na abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala..
Waziri?Aiseee haya mambo kumbe bado yapo.? Jaq ana biashara zake yule dada za urembo/nguo , i don't think kama anamtegemea 100 pasee Regina/Abdiel ,halafu Jaq hawezi kukosa danga la kumpa mikwanja hapa town.
Kwa nini unamuonea huruma kutoka na mi dewji.Sikuhizi hata hela ya saluni inamsumbua, ingetakiwa awe mjanja kutafta miradi yake pembeni na sio kutegemea ku temper Mambo ya urithi, na mbaya zaidi alichokosea Ni kusambaza hyo mirathi na kuwachafuq watoto wakubwa wa mengi, na sikuhizi anatoka na Mo dewji loh namhurumia kweli
Kwa nini unamuonea huruma kutoka na mi dewji.
Mo si bilionea?
We jamaa acha fujo.Nimecheka sana.Yaani mleta uzi kajipinda kuandika halafu weye umemshit ile mbaya.😂😂😂😂😂Mi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
Na Hawa mwajuma ndala ndefu ndio customers wengi, ujue nchi hii kipato Cha wengi Kiko chini ndio maana baharesa anatajirika tu na kuuza kwake lambalambaNdo alipo fail mama wawili hapo tyuuuh, ange plan biashara ambayo hata mwajuma ndala ndefu au John kaptura kiraka wanachangia sent zao, ange ivest pakubwa mnooh.
Duh!Nioneshe rafiki zako nikusimulie hadithi fulani 😂😂😂😂Moo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za akiwa Ida na ni mbahili kufulu ya Mungu
alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu 😂😂 rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Mbona kafanyiwa mengi na makubwa Hana shukrani huyu si alitoka na kunanga kuwa anateswa kisa mjane, Ila Bora hyo will take haikufatwa maana kila kitu kingekufa kabla hata ya mwaka kufikaYes nyumba zina majina ya IPP kwa hiyo hawezi kuuza wala kuchukulia mkopo , na anakaa bure halipi kodi , familia Ya mzee Mengi ilimpa nyumba ya Machame , kinondoni na magari yote ya marehemu ndio hayo ameanza kuuza
Na pia nyumba zote mbili Machame na kinondoni ni kubwa sana maintenance ya zile nyumba ni lazima uwe tajiri kweli kweli Umeme, maji , wafanyakazi na vinginevyo zimeshaanza kumshinda
sasa bibie alilalamika hela Haitoshi Anayopewa ni ndogo haitoshi maintenance akaambiwa kwa Sababu upo wewe na watoto wawili nyumba kubwa sana kaa kwenye apartment akakataa anataka the same life style Kama mzee Mengi alivyokuepo of which hakuna mtu ataekubali kugharamia starehe zake
Makubwa hayaRegina ni ex wa.Jacky
Mshikaji naona unanifuatilia sana as if namgonga mkeo,acha usengelema wewe MAKI,bado tu una mambo ya kingese mwanamme mzima nywele hadi kwenye MNDUKU unafatilia wanamme wenzako wanavyocomment.Ulivoandika as if mdada yaan...kumbe libaba lizima lenye midevu...punguza kusoma umbbea esp kwa da mange wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Namhurumia vile alizoea maisha expensive mjini Mara vacation sijui wapi, Mo mbona naskia Ni bahili haongagi etiKwa nini unamuonea huruma kutoka na mi dewji.
Mo si bilionea?
Naskia Mo bahili hatari haongi ndio maana wadada wanamkimbia,[emoji23][emoji23] huyo rafiki ako nadhani alijuta,Moo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za akiwa Ida na ni mbahili kufulu ya Mungu
alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu [emoji23][emoji23] rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Yaani[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Alafu unajiita alpha Male...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Kumbe muhindi ana tabia mbaya eeeeeNaskia Mo bahili hatari haongi ndio maana wadada wanamkimbia,[emoji23][emoji23] huyo rafiki ako nadhani alijuta,
Ila mobeto kashindika kutoa mpalange wake nadhani alitoa huko akapata Yale matangazo machache baada ya kumwaga hamisa ameacha na kushabikia Simba