Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wenyewe wanakuambia "he got swag and money"
Pole kwa rafiki jamani alijua kapata danga kumbe hasara labda pale kuambulia connection tu.
 
Mi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
Daaaah[emoji23] Hii bangi yako ni ya kukaanga na sio ya kuchemsha kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wenyewe wanakuambia "he got swag and money"
Pole kwa rafiki jamani alijua kapata danga kumbe hasara labda pale kuambulia connection tu.

Connection si mpaka apewe wakati alifichwa kama utumbo One night stand akaachika

moo kwa Sababu ni mbahili uwa anatongoza wasichana wenye class na income lakini all in all mwanamke hata awe na hela kama za Oprah anafurahi zaidi akiudumiwa na mwenza wake hata kidogo
 

Mo kumbe ana akili, mo anajua wanawake wanampendea hela, kwahiyo atakula papuchi, hela walizotarajia hatoi, hlf anamwacha mdada kwenye mataa..mbaya zaidi na tigo anakula, mdada anaambulia ka-laki

Huyo mdada aliem-chaji mo tsh laki 1, ungekuta ni MTU kama mm, ningechajiwa hata million 3, ila mdada aliona mo yuko forbes, ni maarufu, hlf ni bilionea, basi ni uhakika, akitoa papuchi atapewa nyumba na gari, na hivi dada zetu wanashobokea wanaume wa kihindi, kumbe baada ya kutoa papa looh imeisha hiyo.. amu Mimi.
 
Kuna watu mnajua kweli MTU kuliko aanavyojijua. Sio kuwa alikukula wewe Dada kweli huyo Mo
 


Ana akili sana mjanja hakuna kuchunwa kijinga
 
Watu wenye hela za utata za majoka huwa hawaongi kwenye mapenzi Ni kinyume na kanuni.
 

Duh..kweli mm nasindikiza watu kuishi ..hii ndo naisikis hapa...duh Misa na mo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…