Kashindikana tabia aiseeKumbe muhindi ana tabia mbaya eeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wenyewe wanakuambia "he got swag and money"Moo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za akiwa Ida na ni mbahili kufulu ya Mungu
alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu [emoji23][emoji23] rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Daaaah[emoji23] Hii bangi yako ni ya kukaanga na sio ya kuchemsha kabisaMi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wenyewe wanakuambia "he got swag and money"
Pole kwa rafiki jamani alijua kapata danga kumbe hasara labda pale kuambulia connection tu.
...😂😂😂 .Yaani baba na mama ako wakijua unamuwaza na kumfuatilia Jack huku ww maskini watakulaani
Connection si mpaka apewe wakati alifichwa kama utumbo One night stand akaachika
moo kwa Sababu ni mbahili uwa anatongoza wasichana wenye class na income lakini all in all mwanamke hata awe na hela kama za Oprah anafurahi zaidi akiudumiwa na mwenza wake hata kidogo
Kabisaaaa yaanNa Hawa mwajuma ndala ndefu ndio customers wengi, ujue nchi hii kipato Cha wengi Kiko chini ndio maana baharesa anatajirika tu na kuuza kwake lambalamba
Kuna watu mnajua kweli MTU kuliko aanavyojijua. Sio kuwa alikukula wewe Dada kweli huyo MoMoo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za kawaida na ni mbahili kufulu ya Mungu
alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu 😂😂 rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Mo kumbe ana akili, mo anajua wanawake wanampendea hela, kwahiyo atakula papuchi, hela walizotarajia hatoi, hlf anamwacha mdada kwenye mataa..mbaya zaidi na tigo anakula, mdada anaambulia ka-laki
Huyo mdada aliem-chaji mo tsh laki 1, ungekuta ni MTU kama mm, ningechajiwa hata million 3, ila mdada aliona mo yuko forbes, ni maarufu, hlf ni bilionea, basi ni uhakika, akitoa papuchi atapewa nyumba na gari, na hivi dada zetu wanashobokea wanaume wa kihindi, kumbe baada ya kutoa papa looh imeisha hiyo.. amu Mimi.
Kuna watu mnajua kweli MTU kuliko aanavyojijua. Sio kuwa alikukula wewe Dada kweli huyo Mo
Arudi kwenye udangaji atuonjeshe na sisi alivyomuonje mzee(RIP) Hadi akachanganyika akafuga ndefu za mvi[emoji4]
Watu wenye hela za utata za majoka huwa hawaongi kwenye mapenzi Ni kinyume na kanuni.Naskia Mo bahili hatari haongi ndio maana wadada wanamkimbia,[emoji23][emoji23] huyo rafiki ako nadhani alijuta,
Ila mobeto kashindika kutoa mpalange wake nadhani alitoa huko akapata Yale matangazo machache baada ya kumwaga hamisa ameacha na kushabikia Simba
Amorettte ipo?Gossip but interesting
Naskia Mo bahili hatari haongi ndio maana wadada wanamkimbia,[emoji23][emoji23] huyo rafiki ako nadhani alijuta,
Ila mobeto kashindika kutoa mpalange wake nadhani alitoa huko akapata Yale matangazo machache baada ya kumwaga hamisa ameacha na kushabikia Simba
SubutuAmorettte ipo?
Kuna jamaa alileta fununu huyo sista aliliwa na boss wa ke kwa 2m tu [emoji1787]Duh..kweli mm nasindikiza watu kuishi ..hii ndo naisikis hapa...duh Misa na mo!!
Wanadrive ndinga Kali...hatari...kumbe mo naye wamoKuna jamaa alileta fununu huyo sista aliliwa na boss wa ke kwa 2m tu [emoji1787]
Kudanga ndio habari ya mjini
Halafu wanakuja kututambia "independent woman"
2m mbona nyingi Kuna mshikaji wangu kamla kwa laki5...hata hivyo ndivyo wanavyoishi mastaa wa kikeKuna jamaa alileta fununu huyo sista aliliwa na boss wa ke kwa 2m tu [emoji1787]
Kudanga ndio habari ya mjini
Halafu wanakuja kututambia "independent woman"
Duh!2m mbona nyingi Kuna mshikaji wangu kamla kwa laki5...hata hivyo ndivyo wanavyoishi mastaa wa kike