Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Alikozitoa babakeMo ana hela za majoka? Mkuu yule si ana maviwanda na mamiradi kibao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikozitoa babakeMo ana hela za majoka? Mkuu yule si ana maviwanda na mamiradi kibao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mwanangu kamla Ant Ezekiel kwa 100,000 majuzi ... Hawa mastaa ukiwaona Instagram utapagwa.
Ukiliwa.na bilionea wa Tanzania halafu ukaachiwa Kama.100k Ni sawa na kuliwa na dulla makabila[emoji2]Samahàni dia kama nimekukwaza ,pia angekukula wala hakuna shida . mana ungekuwa Umeliwa na Billionaire wa Tanzania na sio kama sie tunaokaa huku Igogo Mwanza
Babake alizitoa wapi? Kama unajua nielekeze na mie nikazitoe.Alikozitoa babake
Kuna ile fleva ambayo slei kwini anaipata kutembea na bilionea I.e MTU maarufu bila hata ya kumpatia buku mkuu anaenjoi sana. Uelewe wenye Hela ama maarufu kama mond dia haoengi ila sie huku ndio tunaojitutumua kuhonga. Ila hao maarufu wanawindwa na wadada mazuri mazuri wenyewe wanajipeleka kuliwa kiroho safi.Ukiliwa.na bilionea wa Tanzania halafu ukaachiwa Kama.100k Ni sawa na kuliwa na dulla makabila[emoji2]
[emoji2][emoji2][emoji2]hahahah uko tayariBabake alizitoa wapi? Kama unajua nielekeze na mie nikazitoe.
Kwahio kuliwa na Steve nyerere bila hela Ni Bora kuliko kuliwa na mazigazi ukapewa 100kKuna ile fleva ambayo slei kwini anaipata kutembea na bilionea I.e MTU maarufu bila hata ya kumpatia buku mkuu anaenjoi sana. Uelewe wenye Hela ama maarufu kama mond dia haoengi ila sie huku ndio tunaojitutumua kuhonga. Ila hao maarufu wanawindwa na wadada mazuri mazuri wenyewe wanajipeleka kuliwa kiroho safi.
Unadhani MTU kama waziri ama raisi kuna haja ya kuhonga? Kwanza binti anaweza akapigana na akatumia nguvu nyingi ili aliwe naye
Dah wakati kuna jamaa aliacha kazi juzi juzi hapo mjini! Akikimbilia ubunge mwishowe amesanda. Ila kwa hela hio hio alisumbua sana mjini 😂😂😂Mil 5 kwa jack ndogo sana ni kama matumizi ya wiki moja tu. Gharama za party zao na kuslay ni kubwa
Mkuu umeongea akili yangu kabisa. Katika kanuni za biashara sijawahi kusoma hiki kipengele ila field nimekutana nacho kama changamoto.Unapokua na mume kama yule, kila aina ya biashara utakayofanya itaonekana inalipa na inakua. Kumbe usijue ukuaji wa hiyo biashara ni kwavile inahusishwa na jina la mzee! Unaweza kuta unapata deals, connections, tender nk we ukadhani ni biashara inachanganya, kumbe ni kwasababu ya goodwill ya mzee. Pia ukitetereka kidogo, au ukihitaji kuongeza vitu mzee yupo anatoa ruzuku mambo yanaenda. Sasa subiri awe hayupo... mwaka tu kila kitu chali!!
I feel sorry for her, atamu miss company maana kylin vitu vingi kashauza sioni hata movement za marafiki zake
Dah, akubali tu kuwa life limechange aje kitaa tumpe ramaniYes nyumba zina majina ya IPP kwa hiyo hawezi kuuza wala kuchukulia mkopo , na anakaa bure halipi kodi , familia Ya mzee Mengi ilimpa nyumba ya Machame , kinondoni na magari yote ya marehemu ndio hayo ameanza kuuza
Na pia nyumba zote mbili Machame na kinondoni ni kubwa sana maintenance ya zile nyumba ni lazima uwe tajiri kweli kweli Umeme, maji , wafanyakazi na vinginevyo zimeshaanza kumshinda
sasa bibie alilalamika hela Haitoshi Anayopewa ni ndogo haitoshi maintenance akaambiwa kwa Sababu upo wewe na watoto wawili nyumba kubwa sana kaa kwenye apartment akakataa anataka the same life style Kama mzee Mengi alivyokuepo of which hakuna mtu ataekubali kugharamia starehe zake
Yani mara elfu angefungua sheli zake na kampuni ya Bima kisha akawa anakatia gari za bonite na kampuni nyingine bima angekuwa analokota pesa tu huku kwenye mafuta ndio usiseme.Ndo alipo fail mama wawili hapo tyuuuh, ange plan biashara ambayo hata mwajuma ndala ndefu au John kaptura kiraka wanachangia sent zao, ange ivest pakubwa mnooh.
Hizo bei sio kwa masaki mkuu! Watu wanaishi kule hawasogezi siku! Hiko kisado utakitoa wapi kule vitungu wananunua supermarket 😂😂😂 na sio ajabu bundle la nusu kilo likauzwa 20K!Sasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.
Child support tu inamtosha kula bata yeye na watoto wake. Maana ni kubwa sana kwa maisha ya kibongo
Slay Queen wa viwango sio wale wachafu-koga waliojazana insta kumgombania kijana wa Tandale.Duuh alikuwa slay queen kweli kweli Kama ndio hivi[emoji2]
Si umesikia anatoka na bil MO, huenda atakuwa anampa supports.Yani mara elfu angefungua sheli zake na kampuni ya Bima kisha akawa anakatia gari za bonite na kampuni nyingine bima angekuwa analokota pesa tu huku kwenye mafuta ndio usiseme.
Kwa sasa ajiwahi na Supermarket na vibanda vya M-PESA tu ale commission kabla hela ya ile range rover haijaisha. Atatia huruma mjini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu
Aisee, kama amemkamata na MO ataendelea kumenya tu😂😂😂 tumuombee heri!Si umesikia anatoka na bil MO, huenda atakuwa anampa supports.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au madale?Slay Queen wa viwango sio wale wachafu-koga waliojazana insta kumgombania kijana wa Tandale.
Tatizo la MO ni mkono wa birika, ndo maan slay queen bado anayumba tyuuuh.Aisee, kama amemkamata na MO ataendelea kumenya tu[emoji23][emoji23][emoji23] tumuombee heri!
Muhindi yule🤣🤣🤣!!! We uliskia wapi muhindi anatapanya mali na pesa hovyo!Namhurumia vile alizoea maisha expensive mjini Mara vacation sijui wapi, Mo mbona naskia Ni bahili haongagi eti
Hizo bei sio kwa masaki mkuu! Watu wanaishi kule hawasogezi siku! Hiko kisado utakitoa wapi kule vitungu wananunua supermarket 😂😂😂 na sio ajabu bundle la nusu kilo likauzwa 20K!