Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Yani mara elfu angefungua sheli zake na kampuni ya Bima kisha akawa anakatia gari za bonite na kampuni nyingine bima angekuwa analokota pesa tu huku kwenye mafuta ndio usiseme.

Kwa sasa ajiwahi na Supermarket na vibanda vya M-PESA tu ale commission kabla hela ya ile range rover haijaisha. Atatia huruma mjini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu
Upele humuota asiye na kucha
 
Upele humuota asiye na kucha
Kweli kabisa, kwa mtu aliyekuwa na vision ya kuanzisha kiwanda cha magari hamna biashara mjini hapo ambayo ungetaka kuifanya kwa pesa ya mzee ikashindwa. Big big business Models kama manufacturing, investments kama real estates!

Tatizo mwanamke akili ilikuwa inawaza designer catalogues za colognes, nguo,viatu na mapochi!

Dedication: Game inavyochange - KingZilla
 
Kweli kabisa, kwa mtu aliyekuwa na vision ya kuanzisha kiwanda cha magari hamna biashara mjini hapo ambayo ungetaka kuifanya kwa pesa ya mzee ikashindwa. Big big business Models kama manufacturing, investments kama real estates!

Tatizo mwanamke akili ilikuwa inawaza designer catalogues za colognes, nguo,viatu na mapochi!

Dedication: Game inavyochange - KingZilla
Tena angeabzisha vitu virahisi visivohitaji akili kubwa, namhurumia hafu na yeye alichangia mzee kupata mi pressure ya bure
 
Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana

Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo

Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii
Daaah sikuhizi hata vacation za Dubai na Italy hatuzioni tena..

Teh teh teh anacheza na wamachame eeeh, huko mahakamani alikokimbilia na fake will kapata nini??
 
K
Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana

Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo

Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii
Ukiona hivyo ujue hana akili ya kutafuta,anayo ya kula tu...
 
Back
Top Bottom