leipzig JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 2,766 Reaction score 1,708 Feb 28, 2015 #1 Huku kulala nikiwa nimevaa viatu inatokana na adha ninayoipata mara baada ya kuvua viatu nikirudi nyumbani,huwa nawashwa na kuamua kujikuna kiasi cha kutokwa na damu. Naombeni ushauri niondokane na tatizo hili!
Huku kulala nikiwa nimevaa viatu inatokana na adha ninayoipata mara baada ya kuvua viatu nikirudi nyumbani,huwa nawashwa na kuamua kujikuna kiasi cha kutokwa na damu. Naombeni ushauri niondokane na tatizo hili!