Kulala nikiwa na viatu!

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,708
Huku kulala nikiwa nimevaa viatu inatokana na adha ninayoipata mara baada ya kuvua viatu nikirudi nyumbani,huwa nawashwa na kuamua kujikuna kiasi cha kutokwa na damu.
Naombeni ushauri niondokane na tatizo hili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…