kev the don
Member
- Aug 3, 2014
- 33
- 6
He majanga. Mi kwa uelewa wangu kuna vitu viwili hapo moja ni mazoea na mbili ni ugonjwa.
Pale ambapo akili inakwambia sasa unamuda wa mapumziko ndipo unaweza ukalala sana kupita kiasi na ukajizoeza kuwa unalala hivyo mara nyingi.
Lakini mbali na hayo kuna ugonjwa wa kusinzia ambao si lazima iwe usiku huo ni muda wowote ukipata pozi la dk moja tayari cha kwanza ni usingizi.
Lakini kwa maelezo yenu inaonyesha sio ugonjwa ni mazoea tu hayo ndo maana manweza kulala saa 6 usiku.
Aiseee kama ni ugonjwa nahisi mie wangu umeishakomaa maana nalala kupita kiasi
Aiseee kama ni ugonjwa nahisi mie wangu umeishakomaa maana nalala kupita kiasi
lakini si unalala weekend tu, kwa iyo hamna tatizo jitahidi at least ulale kuanzi ijumaa usiku mpaka jumapili
Hauko mwenyewe....mimi weekends ijumaa mfano nikilala saa saba usiku naamka saa sita mchana...kesho yake..nikiamka apo ntakula saa 11 jioni..au saa 12 ndo ntaskia njaa.. ofisini reporting time ni saa 7:30 asubuhi lakini mi nishapewa exception..naingia saa mbili asubui..
halafu sina apetite kabisa..ninavoandika hii comment sijala tangu jana saa 12..na wala sisikii njaa..
For that kesi basi sio ugonjwa.
si utaweka alarmDuh ijumaa mpk jpil nahis sitaamka tena
kwani tajiri halali?Ndio kulala ni ugonjwa.
Kwa jina lingine unaitwa umasikini..
ha ha ha tubadilishane kidogo basi..maana kuna wakati natumia apetizers...Aise mi naona una bahati, kuna wengine tushaambiwa siku tukikataa chakula muda wa kuitwa mbele za haki umekairbia.
sio wewe tu mkuu mimi mwenyew napenda sana kulala.Kuna siku sitasahau nililala saa mbili usiku mara baada ya chakula nikaamka kesho yake saa saba mchana mzee wangu ndo anarudi kula chakula cha mchana toka kazini anakuta naenda kuoga bafuni alinimind sitasahu..Ila baadae ilibidi home wazoee tu.