Kulamba na kunyonya sehemu za siri za Mwanamke kuna madhara makubwa kiafya

Kulamba na kunyonya sehemu za siri za Mwanamke kuna madhara makubwa kiafya

KUNYONYA SEHEMU NYETI ZA MWANAMKE KUNA MADHARA MAKUBWA KIAFYA.

Wanaume wengi wana maswali mengi sana hapa, kunyonya au kulambalamba sehemu za siri za mwanamke ni njia mojawapo ya kumuamushia ashiki mwanamke kwa haraka sana, tatizo lake ni rahisi sana kupata ugonjwa wa KANSA Ya KOO, unashauriwa kutoingia Mara kwa Mara chumvini, uwe na mbinu za ziada.

Pia kama mkeo ni mchepukaji utajikuta unalamba na kunyonya shahawa za wanaume wenzio bila kujua. Na kupata magonjwa mengine yakujitakia.

Usiku mwema;

Deogratius N Kisandu.
Hii sidhani kama ni kweli, maana haujasema kinachosababisha kansa kilichopo kwenye sehemu hizo za mwanamke.......
 
KUNYONYA SEHEMU NYETI ZA MWANAMKE KUNA MADHARA MAKUBWA KIAFYA.

Wanaume wengi wana maswali mengi sana hapa, kunyonya au kulambalamba sehemu za siri za mwanamke ni njia mojawapo ya kumuamushia ashiki mwanamke kwa haraka sana, tatizo lake ni rahisi sana kupata ugonjwa wa KANSA Ya KOO, unashauriwa kutoingia Mara kwa Mara chumvini, uwe na mbinu za ziada.

Pia kama mkeo ni mchepukaji utajikuta unalamba na kunyonya shahawa za wanaume wenzio bila kujua. Na kupata magonjwa mengine yakujitakia.

Usiku mwema;

Deogratius N Kisandu.
Siku Mke wako akipata wakumlamba ujue umekwisha man
 
Lukesam mwambie aanze kufanana na viongozi wenzake wa kitaifa maana post ya mwenyekiti haina mchanganuo kabisa achilia mbali kutofanana naye.
 
Nauza vilambio vya bandia... 25,000/pc... Vimekaa kama ulimi wa binadamu kabisa
 
Tupe uchahidi wa kupatwa na kansa ya koo na hata ukiuleta, hapa tz wanyonyaji wa uke tupo wengi sana na ingekuwa ni kweli, wagonjwa wa SARATANI YA KOO wangekua wengi kuliko wagonjwa wa Maleria, ukimwi na TB
 
Back
Top Bottom