BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Gen z wanadili na Ruto ndio anaye kusanya kodi na kuzitumia vibaya, Raila wala Kalonzo hawakusanyi Kodi, Raiala yuko enzi za Moi na hakusanyi kodi za Kenya waka hapangi bajeti ya Kenya.
Tanzania SAMIA ndio anaye kusanya kodi na tozo na kuzitumia kwa anasa huyu wajinga hawamuini. Wanaoambana na Mbowe ambaye hakusanyi kodi za nchi hii.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Mbowe anakusanya Kodi? Ndio ametufikisha hapa tulipo? Mbowe must go wapi? hao wezi mnao waabudu na wanao uza nchi kwa Warabu, na wanao tuumiza na tozo, wanao fanya mazingira ya Biashara yaee magumu sana walio ua elimu na kupepeka watoto wao Internatiinal school kwa pesa za wizi ndio wanapaswa kuondoka.
Hata mkikwepesha magoli kiasi gani, Mbowe hakusanyi kodi na wao kusanya kodi yaani CCM ndio wanapaswa kundoka. Kule Kenya Gen Z inadili na Ruto na Chama chake make ndio wanao kusanya kodi.
Sasa GEN z ya Mazezeta wa Tanzania inadili na Mbowe na sio wakusanya kodi.
Walio tufikisha hapa tulipo ni wakusanya kodi wa nchi hii.
Tanzania SAMIA ndio anaye kusanya kodi na tozo na kuzitumia kwa anasa huyu wajinga hawamuini. Wanaoambana na Mbowe ambaye hakusanyi kodi za nchi hii.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Mbowe anakusanya Kodi? Ndio ametufikisha hapa tulipo? Mbowe must go wapi? hao wezi mnao waabudu na wanao uza nchi kwa Warabu, na wanao tuumiza na tozo, wanao fanya mazingira ya Biashara yaee magumu sana walio ua elimu na kupepeka watoto wao Internatiinal school kwa pesa za wizi ndio wanapaswa kuondoka.
Hata mkikwepesha magoli kiasi gani, Mbowe hakusanyi kodi na wao kusanya kodi yaani CCM ndio wanapaswa kundoka. Kule Kenya Gen Z inadili na Ruto na Chama chake make ndio wanao kusanya kodi.
Sasa GEN z ya Mazezeta wa Tanzania inadili na Mbowe na sio wakusanya kodi.
Walio tufikisha hapa tulipo ni wakusanya kodi wa nchi hii.